Dereva wa gari aina yoyote

Dereva wa gari aina yoyote

MGODOLO

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2020
Posts
209
Reaction score
176
Madereva wenzangu, na wamiliki wa vyombo vya moto.

Pamoja na sifa zote nilizo nazo lakini sina kazi ndugu zangu,... Najua kimsaidiacho mtu chake,. Lakini havitonisaidia chochote pasina nguvu zenu... Hizi kazi zetu za Udereva, bila kushikana mkono huezi pata, labda itokee kama bahati tu

Sina kazi ndugu zangu, nina uzoefu wa Gari aina yeyote ile, na nitafanya kazi popote pale kazi itakapo tokea

Tusaidiane ndugu zangu, Hali sii hali... Familia nilio nayo, Mungu pekee ndio anajua

LOCATION: Arusha
CONTACTS : 0755360768

Nitangulize shukrani kwa yeyote atakayeguswa na hili,
cheti%20cha%20udereva%20wa%20awali.jpg
Cheti%20cha%20N.I.T%20daraja%20C1.jpg
Cheti%20cha%20Veta%20Daraja%20C.jpg
Cheti%20cha%20Uhakiki%20toka%20polisi.jpg
Usajili%20wa%20Latra.jpg
Leseni%20husika.jpg
 
Upo gd mwamba uskatee tamaa n swala la mda .....hakikisha unajichanganya magereji mbali mbali....onesha uaminifu upewe hata deiwaka na hakikisha unafahamika maana kiukwel mtu kukupa ndinga ya mamilion mtu hujulikan sio rahs ....aza mtaan kwaza na mabos huwa wanataka mtu wanayemwona ana drive several times.....
 
Upo gd mwamba uskatee tamaa n swala la mda .....hakikisha unajichanganya magereji mbali mbali....onesha uaminifu upewe hata deiwaka na hakikisha unafahamika maana kiukwel mtu kukupa ndinga ya mamilion mtu hujulikan sio rahs ....aza mtaan kwaza na mabos huwa wanataka mtu wanayemwona ana drive several times.....
Kaka nimekaa vijiweni sana, Huko magereji ndio usiseme, sema kila mtu na mtuwe, na wengine hujiongeza kwa chochote, sasa mimi sina kipato, inaniwia vigumu mno
 
Back
Top Bottom