am not sure kama wanarudi. but hua nina tabia ya ku block any conversation that am not interested in. mfano kuna wale watu wa mikopo hua wanapiga simu ili kushawishi mtu ukope, au kuna zile sms za matapeli. mm hua sibishan nao maana huwa nafikiria "why should I waste my energy arguing"...
hawanunui kwa kilo. wanauziwa kwa mafungu. yaan anaenda machinjioni ile saa 9 usiku anakuta kuna nyama zko mafungu mafungu anachagua fungu analotaka. halafu hyi mishkaki hua sio nyama ile stake kabisa nooo,, hua ni nyama flan hv kama mpira yaan inavutika. sjui nkuelezeaje ila sku moja jihimu...
Ahsante kwa ushauri. ni kweli npo kijijin ila watu wa huku huwa hawauzi ardhi yao kwa sisi wageni. kwa hyo siwez kufanya kilimo wala ufugaji (hii inamaanisha pia sitokuja kujenga hata nikikaa huku miaka 10 ntakua mpangaji tu). cha pili hata biashara wanafanya kwa kujuana hvyo hata ukifungua duka...
hii tabia ya mtu kuja inbox kuomba hela imenifanya nijifunze namna ya kum block mtu DM. nilikuaga sjui namna ya kublock mtu DM na nimejiunga jamii forum tangu 2019. wala usihangaike nae ww ukishaona sms yake bonyeza ile button ya "leave this conversation and ignore future messages " bas utakua...
mkuu, mie ni mwalimu (nina degree). Nataka kwenda kusomea degree nyngne. nimechanganua nikaona nisome either sheria au IT. Je kwa uzoefu wako ww, kati ya hzo carrier mbili ni ipi inahtajika sana huko kwny taasisi au mashirika ya umma? nataka niondoke huku local government. (waweza kunishauri...
Hivi hii salaryslip portal inatumika kuangalia kama makato yamepita tu au ina matumizi mengne? I mean "what are advantages of this portal" to government employees?
hakuna mtu anaependa kuishi kwa mshahara wa halmashaur maana ni mdogo sana na hakuna posho. shda ni kuwa hatuna connections za kuhamia huko kwny taasisi. kama una connection pls tusaidie.
je ukimkopesha huyo mtumishi afu akakugeuka na kukataa kulipa utafanyaje? mana huna kibali cha kukopesha...
mwalimu anatoka kazini saa 9 na nusu jioni kama wafanyakaz wengne tu wa serikali. ni uhuru gan huo unaosema mwalimu anaupata ukilinganisha na waajiriwa wengne wa serikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.