Recent content by Mgm-

  1. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Katika mda ambao kijana unatakiwa utafute pesa nini sasa.

    unaandika kama vile umekatwa kichwa. badala ya kueleza ni shuguli gani watu wafanye ili waingize pesa, we unaandka tu bla bla hapa. unadhan vijana hatufanyi kazi/bjashara? unadhan tunashnda tumelala?
  2. Mgm-

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Ajira Mpya - Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe tumepewa Fedha za Kujikimu pungufu, tukihoji wanasema "Nyie ni wa Kijijini"

    watumishi wa umma wenye mishahara binafsi ndo wepi hao?
  3. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu ya walimu kupiga wanafunzi mpaka kuwaua

    sawa bro, asante.
  4. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu ya walimu kupiga wanafunzi mpaka kuwaua

    mimi ni mwalimu, nishaurini nikasomee career gan ili niachane na ualimu, yaan ntoke kabisa kwny fields zinazohusiana na elimu. maana ni balaaaaaa
  5. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Wezi, Matapeli na Vishoka Stendi Mbezi Loius Wachekelea

    Ni wakati sasa elimu itolewe kwa abiria. abiria wengi hawajui kwamba pale mbez stand ofisi za mabasi ziko sehemu gani.
  6. Mgm-

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    sawa sawa.
  7. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Safari yangu ya uasi!

    sio kweli
  8. Mgm-

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    bila shaka we jamaa ni muha maana sio kwa ubishi huo. tangu mwanzo wa thread naona reply zako ni kubisha tu 😂😂😂😂😔 Academicians unamaanisha kada zipi?
  9. Mgm-

    JamiiForums Tanzania “Uchuuzi” Biashara zinazowalemaza Watanzania

    bureaucracy is the problem.
  10. Mgm-

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    hii logo haina mpinzan asee. Boss Max fanya uirudishe.
  11. Mgm-

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Napendekeza uweke link ya hyo app hapa.
  12. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    hv mtu mwenye connections, network, access anawezaje kuwa maskin kiasi cha kuvizia girls from royal families? kwa nn asivitumie hvyo vtu kuukimbia umaskin? alafu pia hakuna royal family isiyo na connection hadi ije itafute connection kwa masikini.
  13. Mgm-

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    royal family wanahtaji kitu gan kutoka kwa mtu asietoka royal family?
Back
Top Bottom