Ni kweli mdau hayo maeneo ni hatari sana kwa utekaji wa magari hasa nyakati za usiku,tuwe makini sana kwa hizo nyakati za usiku, pia ningeliomba jeshi la polisi wawe wanafanya doria nyakati za usiku
Hawa TANROAD mi bado sijawaelewa!! Hizo mita 121.5 za mwisho wa barabara wamezitoa katika kifungu gani cha sheria ya barabara, nijuavyo mm ni mita 30 za sheria ya mwaka 2007, hebu tufahamishane wandugu ni kweli sheria hii ipo au la
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.