Recent content by mgenikaribu

  1. mgenikaribu

    Tanzia: kifo cha Sheha wa Ole Mussa Mashati (CCM)

    Kwani kuna Sheha wa CuF?
  2. mgenikaribu

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Kiswahili kinakupigeni chenga na kufikiria mengine
  3. mgenikaribu

    Hivi mgombea urais Zanzibar hatafuti wadhamini Tanzania Bara?

    Utamdhamini vipi mtu usiempigia kura?
  4. mgenikaribu

    Nini Tafsiri ya mlo Mmoja kwa mtanzania chini ya Dola moja?

    Umasikini uliokithiri kwa watanzania.
  5. mgenikaribu

    Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

    Hiyo ni image si video utamsikiaje? Na hayo maswali kawaida huulizwa bungeni.
  6. mgenikaribu

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    Nchi gani? Tanganyika imeshafika mbona hamfahamiki
  7. mgenikaribu

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    Kiherehere chao CCM Zanzibar, hawatakiwi Bara wao bado wanajipendekeza, hivi hawa akina Chombo, Salimin Awadh, Waride Jabu, Asha mtama, Nahodha hawawezi kuchambua pumba na mpunga. Wanatukunwa, wanabaguliwa, wanazalilishwa wao wapo tu kujikomba kwa watanganyika. Alianza Pinda, Lukuvi, Sita na...
  8. mgenikaribu

    Wabunge CCM wafanya siasa za kibaguzi kwenye bajeti UCHUKUZI

    Tusitafune maneno huu ukanda upo na utaendelea kuwepo, cha kufanya ni kutumia huu ukanda kuleta maendeleo ya haraka kwa kuigawa hii nchi kimajimbo kama zilivyo nchi nyengine zilizoendelea kama Japan, Canada, USA. Jimbo liongozwe na Gavana ataechaguliwa na wananchi wenyewe, tuachane na sijui...
  9. mgenikaribu

    Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

    safi sana na ndio maana wanapoenda kuvunja na kuiba benki huvaa vimini na sio hijaab.
  10. mgenikaribu

    VIDEO: Je Ushawahi kuusikia Wimbo wa Jamuhuri ya Zanzibari

    Umecheka mpaka gesi zinavuja mk****i jee ukiangalia wimbo wa Taifa wa Spain itakuwaje kwani wao ni mabubu kabisa.
  11. mgenikaribu

    Mwigulu Nchemba: Hakuna tofauti ya hesabu kati ya mamlaka mbili (TRA na EWURA)

    na wewe usikubali siku zote wanachosema serikali, ngoma draw tukifikia hapo nchi itaenda
  12. mgenikaribu

    Zanzibar kunyimwa 'Change ya RADA'

    Msibabaishe watu nyinyi ni wezi tu hakijulikani cha Muungano wala cha Tanganyika. Ikija faraja hii yetu, maafa yetu sote.
  13. mgenikaribu

    Zanzibar kunyimwa 'Change ya RADA'

    vipi tende na halua mtawapa?
  14. mgenikaribu

    Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni!

    Mama kashiba kweli ndio akasema hivyo, hajui kuwa hizo ngoma za uswazi ni kiliwazo cha maisha magumu ya mamilioni ya watu masikini Tanzania.
  15. mgenikaribu

    Kinana asikitishwa kuona wakulima wa tumbaku wanavyodhurumiwa

    ni matunda ya miaka 50 hayo.
Back
Top Bottom