Nini Tafsiri ya mlo Mmoja kwa mtanzania chini ya Dola moja?

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana jamvi,

WaTanzania wamekuwa na msemo wa kula mlo mmoja chini ya dola 1, hili limebadilika sana, kwa hivi sasa hatujui katika bajeti hii wanayoita tukufu watanzania wanaishi chini ya dola ngapi? kwa siku?

Bado kuna kitendawili cha kujua hawa mawaziri watatu wa wizara ya fedha wanavyotuletea bajeti ya mtanzania kuishi kwa milo mingapi kwa siku au nusu mlo, hapo tutegemee watoto kuendelea kudumaa kwa makande na ndimu, kwa bajeti hii tunategemea kuona watanzania kukondeana kama wasomalia walioko kwenye vita.

Mpaka sasa Tanzania sio salama kabisa, licha ya kuongezeka kwa dola kutoka 1600 mwaka jana na kufikia leo 2350 bado maharage na mahindi yazidi kuwa juu.

Bado tunagoja tarehe 1 July Siku ya mateso kwa watanzania kila mwaka kwani ndiko kila kitu kinakuwa bei juu, hii inatakiwa iwe tarehe ya uzuni tanzania kwani siku hiyo mlala hoi uwa anadumazwa kwa kunyofolewa kila sehemu matajiri waliolimbikiza mali wananeemeka.

Haya bwana nyie mawaziri watatu mnataka Mwenye nchi aliyepo magogoni aage vibaya kwa kuacha kila kitu kinapanda , ukiuliza kisa mafuta, mafuta ya taa yanafanywa dili wakati mjini hawatumii tena.
 
Angalia mwaka huu ilivyo kuwa
BEI MPYA ZA MAZAO KUTOKA KATIKA MIKOA MBALIMBALI YA TANZANIA(Tshs/kg))
TAREHE 26/12/2013


Mkoa
Maharage
Mahindi
Mchele
Mtama
Ngano
Ulezi
Viazi Mviringo
Arusha
1100 -1450
500 - 520
1100-1500
550 - 600
700 - 850
980 - 1000
700 - 750
Babati
1400 - 1450
450
1300-1500
350 - 420
750 - 800
900 - 950
650 - 1000
Bukoba
1300 - 1600
680 - 700
1000-1100
450 - 500
900 - 1200
1100 -1200
560 - 600
Dsm
1300 - 1800
480 - 520
800 - 1300
600 - 700
1000 -1200
1200 -1500
500 - 650
Dodoma
1300 - 1500
540
1300-1500
540
1000 -1500
400 - 600
Geita
1400
720
1000
650
1400
600
Iringa
1000 - 1400
360 - 370
1200-1500
800
700 - 1000
1000 -1200
500
Kigoma
1500
670
1000-1200
1500
1500
800 - 1000
Lindi
1400 - 1700
550 - 600
1100-1400
500
1200 -1700
620
Mbeya
950 - 1300
480 - 500
900 - 1300
800 - 1000
750 - 900
250 - 260
Morogoro
1400 - 1500
480 - 560
1000-1300
1200
1300
1500
360 - 410
Moshi
1400
510
1300
1200
1700
1000
Mpanda
1000 - 1700
500
800
800
1500
Mtwara
1200 - 1600
550 - 570
1100-1200
1200
1200 - 1500
800
Musoma
1300
760
1280
680
1350
1250
Mwanza
1400 - 1500
650 - 700
950- 1000
1200 - 1500
700
1400
550
Njombe
1200
550
1800
700 - 750
1200
350
Shinyanga
1400 - 1500
500
1000-1200
350 - 375
1000 -1200
1300
530 - 590
Singida
1300 - 1600
480 - 500
1000-1200
500 - 540
900 - 950
800 - 850
Songea
900 - 1000
320
1000-1800
1000
600
Sumbawanga
900 - 1800
390 - 420
1000-1200
720 - 750
900 - 1050
650 - 750
Tabora
1500 - 1700
540 - 550
850 - 1000
1000
1200
1000
700
Tanga
1200 - 1300
490 - 500
1200-1250
550 - 600
900 - 950
1300
500 - 560




























Published by Shambani Solutions Tanzania
 
Back
Top Bottom