Ipo, sheria ya elimu. Marekebisho ya sheria ya elimu yalifanya kuwa na mahusiano na mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari kuwa ni kosa la jinai. Tena hapo ni bila kuzingatia kabisa umri akishakuwa ni mwanafunzi wa shule tu kwisha habari yako.
Mbaya zaidi ni ikionekana una uelekeo huo wa...
Habari wana JF,
Niende moia iwa moja kwenye hoja yangu ambayo pia naileta kama swali kwa baraza la sanaa ambalo huwa linasimamia pia maadili kwenye kazi za sanaa pamoja na mamlaka zetu zote zinazohusiana na kumlinda mtoto zikiongozwa na wizara husika.
Kuna huu wimbo mpya ya msanii Mbosso...
Salamu wana JF
Hii mada ya vazi la taifa ni miongoni mwa mada zinazoonesha namna gani hatupendi kukubaliana na ukweli wa mambo sisi kama watanzania.
Ukweli ni kwamba kama taifa lenye zaidi ya makabila 120 haiwezekani kuea na vazi moja la taifa tena tukabaki kuzingatia tamaduni zetu.
Ni vipi...
Yupo serious na ni ukweli mtupu. Fuatilia watoto wenye vipilipili huwa watundu sana. Ukubwani wananyoa vipara na kugeuka watata/wakorofi sana.
Angalia wanaume wenye rasta, hawa jamaa wanajiamini sana. Ni nadra kukuta rasta muoga muoga. Kitendo tu cha kufuga rasta ni ishara ya mtu kujiamini...
Ufauli wake O'Level upoje? Na je alisoma shule ya Technical?. Huyo mtu hata akiwa na 1 ya 3 kama O'level hakusoma masomo au shule yenye mrengo wa hiyo fani jua hawezi mchomoa mtu mwenye 1 ya 4 ambaye O'level alisoma shule na masomo ya mrengo wa hiyo fani.
Ufaulu wa A'level ni moja ya vigezo ila...
Kuna mambo labda unachanganya mleta uzi, kuna: -
1. Ujenzi usiofuata ramani za makazi
2. Ujenzi wa nyumba holela
3. Ujenzi wa ramani mbovu za majengo
Sasa em tuambizane shida yako hapo ni ipi kwa Mbeya?
Kuna manispaa Tanzania hii hakuna majengo ya corporate kabisa unakuta fremu za chini mji...
Ukiwa haujui mwenendo wa mashauri Mahakamani uwe unakaa walau kimya kiongozi.
Ipo hivi, Mahakama ndio huwa inapanga muda lakini kama kuna mawakili Mahakama huwa inazingatia ratiba za mawakili hao na ndio sababu ya Mahakama kumuuliza wakili tarehe na muda na wakili huwa anaangalia diary yake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.