Recent content by Mgeni wa Jiji

  1. Mgeni wa Jiji

    BASATA: Yapo wapi maadili kwenye hii nyimbo "Darasa la saba ya Mbosso" inayohamasisha mapenzi kwa watoto wa shule?

    Ipo, sheria ya elimu. Marekebisho ya sheria ya elimu yalifanya kuwa na mahusiano na mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari kuwa ni kosa la jinai. Tena hapo ni bila kuzingatia kabisa umri akishakuwa ni mwanafunzi wa shule tu kwisha habari yako. Mbaya zaidi ni ikionekana una uelekeo huo wa...
  2. Mgeni wa Jiji

    BASATA: Yapo wapi maadili kwenye hii nyimbo "Darasa la saba ya Mbosso" inayohamasisha mapenzi kwa watoto wa shule?

    Mbona nimeweka marejeo hapo chini au elimu yako ni ndogo kiasi cha kushindwa kuona hayo marejeo kiongozi?
  3. Mgeni wa Jiji

    BASATA: Yapo wapi maadili kwenye hii nyimbo "Darasa la saba ya Mbosso" inayohamasisha mapenzi kwa watoto wa shule?

    Habari wana JF, Niende moia iwa moja kwenye hoja yangu ambayo pia naileta kama swali kwa baraza la sanaa ambalo huwa linasimamia pia maadili kwenye kazi za sanaa pamoja na mamlaka zetu zote zinazohusiana na kumlinda mtoto zikiongozwa na wizara husika. Kuna huu wimbo mpya ya msanii Mbosso...
  4. Mgeni wa Jiji

    Hivi kesi kama hizi bado zinastahili kuwepo?

    Mjini mtu hazururi maana ni gharama kutoa point A kwenda point B
  5. Mgeni wa Jiji

    Vazi moja la taifa, matamanio yasiyoweza kufikika

    Salamu wana JF Hii mada ya vazi la taifa ni miongoni mwa mada zinazoonesha namna gani hatupendi kukubaliana na ukweli wa mambo sisi kama watanzania. Ukweli ni kwamba kama taifa lenye zaidi ya makabila 120 haiwezekani kuea na vazi moja la taifa tena tukabaki kuzingatia tamaduni zetu. Ni vipi...
  6. Mgeni wa Jiji

    Ni jambo gani mchumba wako alifanya, ukajua huwezi kumuoa au kuolewa naye

    I hope ulikuwa ushamaliza swala la ufunuo mheshimiwa raisi 😂😂
  7. Mgeni wa Jiji

    Ila kuachwa

    Ina maana kijana hakukolea na mambo ya Ntwaraa? Aisee. Tusikitike kidogo 😔
  8. Mgeni wa Jiji

    Binti/kijana vipi mungu akikupa mwenza mwenye tabia kama mzazi wako, maisha yatasonga au inahitaji moyo?

    Ila zama nazo zimebadilika sana Mkuu. Maamuzi ya 1980s hayawezi kufanana na leo 2025
  9. Mgeni wa Jiji

    Kwa hiyo mlisema wadada wenye style hii ya nywele huwa wana tabia gani?

    Yupo serious na ni ukweli mtupu. Fuatilia watoto wenye vipilipili huwa watundu sana. Ukubwani wananyoa vipara na kugeuka watata/wakorofi sana. Angalia wanaume wenye rasta, hawa jamaa wanajiamini sana. Ni nadra kukuta rasta muoga muoga. Kitendo tu cha kufuga rasta ni ishara ya mtu kujiamini...
  10. Mgeni wa Jiji

    UDSM mwaka huu kuna nini?

    Ufauli wake O'Level upoje? Na je alisoma shule ya Technical?. Huyo mtu hata akiwa na 1 ya 3 kama O'level hakusoma masomo au shule yenye mrengo wa hiyo fani jua hawezi mchomoa mtu mwenye 1 ya 4 ambaye O'level alisoma shule na masomo ya mrengo wa hiyo fani. Ufaulu wa A'level ni moja ya vigezo ila...
  11. Mgeni wa Jiji

    Hivi Nyuki kama hawa wanakuwa wametumwa au ni nini?

    Kuna utajiri wa nyuki pia lakini
  12. Mgeni wa Jiji

    Jiji la Mbeya: Hapa Wabongo tumechemka

    Kuna mambo labda unachanganya mleta uzi, kuna: - 1. Ujenzi usiofuata ramani za makazi 2. Ujenzi wa nyumba holela 3. Ujenzi wa ramani mbovu za majengo Sasa em tuambizane shida yako hapo ni ipi kwa Mbeya? Kuna manispaa Tanzania hii hakuna majengo ya corporate kabisa unakuta fremu za chini mji...
  13. Mgeni wa Jiji

    Jaji Ndunguru na wakili Katuga wameongea lugha waliokuwa wanawasiliana hadharani bila kujua

    Ukiwa haujui mwenendo wa mashauri Mahakamani uwe unakaa walau kimya kiongozi. Ipo hivi, Mahakama ndio huwa inapanga muda lakini kama kuna mawakili Mahakama huwa inazingatia ratiba za mawakili hao na ndio sababu ya Mahakama kumuuliza wakili tarehe na muda na wakili huwa anaangalia diary yake na...
  14. Mgeni wa Jiji

    Nimependwa au nini kinaendekea hapa aisee!

    Mwanzako anakuonea huruma wewe unawaza midinyano. Hayaaa
Back
Top Bottom