Sasa wangekua wanatangaziana tu ndani kimya kimya kuliko kuleta masihara kwenye mambo ya ajira.Nadhani wanaendesha usaili kama ushahidi tu ili ukaguzi ukipita wapate kujitetea kwamba mchakato wa usaili ulifanyika.Kuna nafasi za Data Officer walifanyisha watu usaili hapa Dar lakini mpaka leo...
Hawa jamaa kazi zao utaishia kufanya usaili tu lakini hutokaa uitwe kwenye ajira...... Wanafanyisha watu usaili lakini hawawaiti kwenye ajira.......hawa jamaa huenda interview zao ni kama formality tu
Heshima kwenu washikadau
Embu kwa wenye uzoefu tutajiane Guest House za bei nafuu kwa hapa Dar hasa maeneo ya Sinza na Manzese na hata maeneo mengine
Bei kuanzia 10k,15k au 20k
Karibuni
Kuna wanawake ambao wameumbwa na ujasiri wa kumtongoza mwanaume pindi wanapoona wamevutiwa na mwanaume huyo kimapemzi.
Mwanamke mwenye ujasiri wa namna hii huwa hasiti kumfuata mwanaume na kumueleza ukweli pindi anapoona amevutiwa nae kimapenzi
Pamoja na ujasiri wa wanawake hawa kufanya hivi...
Mfano wewe ni mwanaume au mwanamke umemkosea mpenzi wako kosa ambalo linasameheka lakini ulivyomtumia ujumbe wa kumuomba msamaha mwenzako akaendelea kukaa kimya bila kujibu chochote
Je inapopita kama wiki moja bila mawasiliano utaendelea kumbembeleza tena au na wewe utaamua kukata mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.