James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,562
- 2,633
Bufeeeeee ileee kutoka Tsh 1000 kupata MB 750 now unapata MB 700.
Huu mwanzo tu na bado.
Huu mwanzo tu na bado.
Tatizo newkork yao ipo slowBufeeeeee ileee kutoka Tsh 1000 kupata MB 750 now unapata MB 700.
Huu mwanzo tu na bado
Mh! Unatumia kifaa gani ndugu au unakaa kijiji gani..😂Tatizo newkork yao ipo slow
Kwa buku unapata kama MB 665 na sio MB 700Bufeeeeee ileee kutoka Tsh 1000 kupata MB 750 now unapata MB 700.
Huu mwanzo tu na bado
Angalia nowToka awali nilikuwa napata hiyohiyo sijaona badiliko Kama ni hivyo!
Utajua hujuiKwa buku unapata kama MB 665 na sio MB 700
mtajua hamjuiVodacom kwa buku unapewa 350Mb
Buffee pack unachagua mwenyewe upate sms ngapi, dakika ngapi na mbs ngapi. Ni huduma konki kuliko huduma zote nilizowahi kutumia.Bufeeeeee ileee kutoka Tsh 1000 kupata MB 750 now unapata MB 700.
Huu mwanzo tu na bado
wifi za bure mchana unapata wapi boss ?kazini au chuoHata voda nimepata MB 750 kwa buku kwa miezi kama miwili sasa leo naona zimekua 650 wakifuta tu hiyo kifurushi napumzisha internet za mobile nakubaki na wifi za bure mchana
Hivi kumbe Halotel bado wapo nchini ? 🤔🤔Halotel wamepotea hewani tangu jana