Recent content by Mgaratia Wa bongo

  1. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    kisa cha Jambazi mrundi aliyeitwa Swaga Ng'ombe, na Komando Dogo ilikuwa hatari sana sema Nini , Operation Kimbunga ilisaidia sana kikwete Hadi akataka kutuingiza vitani Na Rwanda.
  2. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Hapo Dsm tofauti na mambosasa ni wapi tena wanauza kwa Bei nzuri
  3. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    3225 Mkuu?
  4. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Asante sana
  5. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Habari za wakati huu Wana panels, Naombeni ushauri juu hizi ya photocopy mashine aina ya Canon ir 2520, 2525, 2530 na 3225. ipi ni Bora na imara kati hizo? Ninampango wa kununua .
  6. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya neno “MAMA” kwa makabila mengi hapa nchini ni "NYOKO"

    He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
  7. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya neno “MAMA” kwa makabila mengi hapa nchini ni "NYOKO"

    He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
  8. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania SISI kwetu, "MAMA" ni "NYOKO" ukitaka kujua Hali ya mama yangu kiafya, unaniuliza "NYOKO MGUM?"

    hahaha sisi wasukuma tunaita Noko/ Nina/Iya kumaamisha mama wa kukuzaa. Mayo tuna maanisha mwanamke yeyote
  9. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Si uungwana kuzungumzia mambo ya uzinzi mbele ya Mke wa rafiki yako

    Kuna ushamba fulani hivi wanaume huwa wanaufanya ambapo kimsingi si uungwana na ustarabu hata siku Moja. Jamaa mmoja tulisoma wote chuo kikuu Sasa juzijuzi kapata ajira katika mji ambapo Mimi nafanya kazi. Sasa aliponiambia amepata anakuja kuripoti nikamwambia afikie kwangu Cha ajabu Sasa jamaa...
  10. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Tatizo linalotusumbua Tz ni uccm.Hata jambazi akiwa CCM anakuwa Salama.
  11. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Sasa kama Hadi mnyarwanda ni naibu waziri mkuu,wanajeshi, na usalama wa Taifa hapa hapa Tanzania, huoni kuwa Ni kama IPO uchi kwa Rwanda?
  12. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Nina miaka mitano sijala UGALI

    Bilashaka wewe ni Muhaya Kutoka kagera
  13. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Serikali: Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 107 ikiwa ni ongezeko la 14.9%

    Based on the provided data from the Swahili Times, the national debt of Tanzania (in TZS trillion) has shown a consistent upward trend over the past five years: 2021: 60.9 trillion 2022: 69.4 trillion 2023: 77 trillion 2024: 91.7 trillion 2025: 107.7 trillion ### Trend Analysis: 1. Annual...
  14. Mgaratia Wa bongo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mwenyekiti Bawacha kubwaga manyanga kwa press wiki ijayo

    Magarasha yote yatoke. Sipendi wanasiasa vigeugeu...kiongozi Gani anafika Bei na watu? Wakija kupewa nchi sasa si watauza hata ikulu? Maji na mafuta lazima yatengane
Back
Top Bottom