Recent content by Mgaratia Wa bongo

  1. Mgaratia Wa bongo

    Tafsiri ya neno “MAMA” kwa makabila mengi hapa nchini ni "NYOKO"

    He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
  2. Mgaratia Wa bongo

    Tafsiri ya neno “MAMA” kwa makabila mengi hapa nchini ni "NYOKO"

    He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
  3. Mgaratia Wa bongo

    SISI kwetu, "MAMA" ni "NYOKO" ukitaka kujua Hali ya mama yangu kiafya, unaniuliza "NYOKO MGUM?"

    hahaha sisi wasukuma tunaita Noko/ Nina/Iya kumaamisha mama wa kukuzaa. Mayo tuna maanisha mwanamke yeyote
  4. Mgaratia Wa bongo

    Si uungwana kuzungumzia mambo ya uzinzi mbele ya Mke wa rafiki yako

    Kuna ushamba fulani hivi wanaume huwa wanaufanya ambapo kimsingi si uungwana na ustarabu hata siku Moja. Jamaa mmoja tulisoma wote chuo kikuu Sasa juzijuzi kapata ajira katika mji ambapo Mimi nafanya kazi. Sasa aliponiambia amepata anakuja kuripoti nikamwambia afikie kwangu Cha ajabu Sasa jamaa...
  5. Mgaratia Wa bongo

    Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Tatizo linalotusumbua Tz ni uccm.Hata jambazi akiwa CCM anakuwa Salama.
  6. Mgaratia Wa bongo

    Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Sasa kama Hadi mnyarwanda ni naibu waziri mkuu,wanajeshi, na usalama wa Taifa hapa hapa Tanzania, huoni kuwa Ni kama IPO uchi kwa Rwanda?
  7. Mgaratia Wa bongo

    Nina miaka mitano sijala UGALI

    Bilashaka wewe ni Muhaya Kutoka kagera
  8. Mgaratia Wa bongo

    Serikali: Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 107 ikiwa ni ongezeko la 14.9%

    Based on the provided data from the Swahili Times, the national debt of Tanzania (in TZS trillion) has shown a consistent upward trend over the past five years: 2021: 60.9 trillion 2022: 69.4 trillion 2023: 77 trillion 2024: 91.7 trillion 2025: 107.7 trillion ### Trend Analysis: 1. Annual...
  9. Mgaratia Wa bongo

    Tetesi: Mwenyekiti Bawacha kubwaga manyanga kwa press wiki ijayo

    Magarasha yote yatoke. Sipendi wanasiasa vigeugeu...kiongozi Gani anafika Bei na watu? Wakija kupewa nchi sasa si watauza hata ikulu? Maji na mafuta lazima yatengane
  10. Mgaratia Wa bongo

    PreGE2025 Mwaka huu utapiga kura?

    Kodi za Wafanya Biashara zinaenda kutumika vibaya sana maana raisi anajulikana, wabunge wanajulikana na Madiwani wanajulikana lkn billions of money zinaenda kuteketea bureee kabisa.
  11. Mgaratia Wa bongo

    DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

    Alisikika Mzee mmoja akisema " ukitaka mafanikio katika maisha oa mke MCHAGA ila ukishatajirika utakufa muda wowote'' Ukioa mke mhaya ujiandae kukosana na ndugu zako pia tarajia kufa kwa ukimwi, ukioa muha jiandae kulishwa Kila aina ya uozo na kulogwa mpaka uwe mtu wa ndiyo mama.. Ukitaka maisha...
  12. Mgaratia Wa bongo

    Tetesi: Protase Kardinali Rugambwa atajwa kumrithi Papa Francis

    Hahahaha Wahaya bana! Hizo ni akili za kitoto ya kwamba nikikua nitakuwa Rais, it's just a childish behavior.
  13. Mgaratia Wa bongo

    Mke wangu yeye na Simu yake ataki niishike hata kidogo. Na siku aliyoumwa aliikumbatia kama mtoto

    Kaka, kwenye ndoa kuishi kama Jasusi, ukiishi kiboya utakuja kufa vibaya sana, ndani ya ndoa unatakiwa uwe unamjua Kila mke wake Hadi mganga wake.ila hakikisha asikujue wewe.
  14. Mgaratia Wa bongo

    Umasikini mkoa wa Kagera unaletwa na Serikali

    Hivi unajua kwamba mipango ya Maendeleo ya wilaya inapangwa na Na nani, Ni Baraza la madiwani ndio wanaohusika na sio wateule wa Rais, kazi ya wateule wa Rais ni Kumentain laws and order. Hao Madiwani wenu ndo muwalaum na siyo serikali.
  15. Mgaratia Wa bongo

    Umasikini mkoa wa Kagera unaletwa na Serikali

    Hahahaha nyie ndo mpo sawa wakati takwimu zinawafunga,, katika wilaya ya Muleba Kuna Tarafa 5, kata 43 lakini hakuna Hospital ya wilaya na Madiwani na wabunge wapi , miradi ya ujenzi wa hospitali ikija wa wanaleta ujuaji , wanaingia Ubia na Hospital ya mission ya Rubya, pia Kuna Wahaya Wana...
Back
Top Bottom