He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
He wewe so msukuma, Noko, Iya, Nina, Yayu yote hayo humaanisha mama wa kukuzaa, ila mayo ni Jina la kumwitia mwanamke yeyote kwa Heshima anaweza asiwe mama Yako wa kukuzaa ndo una mwita Mayo.
Kuna ushamba fulani hivi wanaume huwa wanaufanya ambapo kimsingi si uungwana na ustarabu hata siku Moja. Jamaa mmoja tulisoma wote chuo kikuu Sasa juzijuzi kapata ajira katika mji ambapo Mimi nafanya kazi.
Sasa aliponiambia amepata anakuja kuripoti nikamwambia afikie kwangu Cha ajabu Sasa jamaa...
Based on the provided data from the Swahili Times, the national debt of Tanzania (in TZS trillion) has shown a consistent upward trend over the past five years:
2021: 60.9 trillion
2022: 69.4 trillion
2023: 77 trillion
2024: 91.7 trillion
2025: 107.7 trillion
### Trend Analysis:
1. Annual...
Magarasha yote yatoke. Sipendi wanasiasa vigeugeu...kiongozi Gani anafika Bei na watu? Wakija kupewa nchi sasa si watauza hata ikulu? Maji na mafuta lazima yatengane
Kodi za Wafanya Biashara zinaenda kutumika vibaya sana maana raisi anajulikana, wabunge wanajulikana na Madiwani wanajulikana lkn billions of money zinaenda kuteketea bureee kabisa.
Alisikika Mzee mmoja akisema " ukitaka mafanikio katika maisha oa mke MCHAGA ila ukishatajirika utakufa muda wowote''
Ukioa mke mhaya ujiandae kukosana na ndugu zako pia tarajia kufa kwa ukimwi, ukioa muha jiandae kulishwa Kila aina ya uozo na kulogwa mpaka uwe mtu wa ndiyo mama..
Ukitaka maisha...
Kaka, kwenye ndoa kuishi kama Jasusi, ukiishi kiboya utakuja kufa vibaya sana, ndani ya ndoa unatakiwa uwe unamjua Kila mke wake Hadi mganga wake.ila hakikisha asikujue wewe.
Hivi unajua kwamba mipango ya Maendeleo ya wilaya inapangwa na Na nani, Ni Baraza la madiwani ndio wanaohusika na sio wateule wa Rais, kazi ya wateule wa Rais ni Kumentain laws and order. Hao Madiwani wenu ndo muwalaum na siyo serikali.
Hahahaha nyie ndo mpo sawa wakati takwimu zinawafunga,, katika wilaya ya Muleba Kuna Tarafa 5, kata 43 lakini hakuna Hospital ya wilaya na Madiwani na wabunge wapi , miradi ya ujenzi wa hospitali ikija wa wanaleta ujuaji , wanaingia Ubia na Hospital ya mission ya Rubya, pia Kuna Wahaya Wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.