Bahati mbaya siku hizi wanawake wengi hawajali mapenzi wapo busy na ngono hivyo hawana hisia na hawaumii. Jaribu kusikiliza tungo nyingi za siku hizi za vijana utaona hilo. Pole
Huu ni muendelezo wa nyimbo za hovyo. Ila inaonyesha ndiyo muelekeo wa soko. Wateja wamegeuka kutoka kuhijtaji nyimbo za mapenzi na kuhitaji nyimbo za ngono. So sad.
Uumbaji wa Mungu ni wa mipango. Mungu anaiangalia dunia kama super structure na kila mmoja amempa nafasi yake. Ukikubali nafasi aliyokupa kama mdau ktk dunia na kuitimiza kwa upendo huta jiuliza kwa nini mwingine ni Raisi, Doctor, pastor, mfanyakazi wa ndani, muosha maiti. etc. Fulfil God...
Matajiri wanaojielewa wanajua niniwanachohitaji kwenye bidhaa. Kwenye bidhaa kuna vitu viwili muhimu. Kiini cha bidhaa na bidhaa yenyewe. Mfano nguo kiini cha bidhaa ni kujisutiri na bidhaa halisi ni vitambaa vilivyounganishwa mtu aweze kujisitiri. Hivyo matajiri huangalia kiini cha bidhaa yaani...
Dawasa Tabata nimeleta form za maombi ya maji nikaambia surveyor atakuja ndani ya wiki moja. Wiki ya pili sasa hamjafika. Kama survey tu wiki mbili kuubganishiwa maji si itakuwa miaka miwili.?
Hii nafikiri ni theory unaongelea. Hawa watu tuko nao huku mijini hizo institution zilikuwepo zamani huko vijijini. Upo nae huku mjini analeta visasi unampeleka kikao gani cha clan elders.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.