[emoji3][emoji3][emoji3]ingekuwa wewe ndio umetoa uzi basi ningeenda kukomaa na hizo wikipedia sasa hivi lakini mtoa mada amesisitiza zaidi ya mara moja kwenye uzi kuwa hizo elimu haizpatikani popote na ndio maana watu wakimuomba reference anakuwa mkali.
Wewe unacho kifanya kinamake sense japo...
1. Hao uliwataja au viongozi wa africa kwa ujumla wanatofauti gani na hao weupe?
Mbona mzee jakaya amekuwa akisuluhisha migogoro mingi tu wakati alipokuwa mwenyekiti wa AU?
Je, hakuna viongozi wa mfano huo walioko katika nchiz nyingine za africa?
2. Mkuu sijapingana na kuwepo demokrasia lakini...
Je ni kweli viongozi wetu wote ni waasi kama wanavyo sema hao wazungu?
Je kwao kuna usafi mkubwa kama wanao uhubiri upatikane huku?
Swali la mwisho, je baada ya hao wazungu kufanikiwa kuwaondoa hao watawala wetu hali inabakije kwa wewe mwananchi wa kawaida?
Mwenzio hapo juu ametuambia kuwa hizi elimu zinatubrainwash ubongo na zimejaa upotoshaji tena akaongeza kuwa elimu hiyo munayo zungumzia haiwezi kupatikana mahala popote[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe unasema niende wikipedia hiyo hiyo iliyo tengenezwa na watu wanao taka...
Kwa mtazamo wa kisasi unaweza kuwa sahihi kwa 30%!
Lakini je nani adui yako mkubwa kati ya wazungu na hao viongozi wa africa?
Je ni sahihi kwako ukaukabidhi ugomvi wa familia ukawa unatatuliwa na jirani ambae una uhakika hana upendo na familia yako?
Je wao wakiwa na tofauti zao (utawala wa...
Jaribuni kushibisha haya maoni yenu kwa kuandika hata reference ya vitabu mlivyo soma.
Kila mtu anasema nimechimba nimechimba hivyo vitabu mlivyo chimba si muviweke hapa na sisi tujiridhishe na waandishi pamoja na kilicho andikwa
Maelezo mazuri japo hao wazungu wamejaa unafiki mkubwa na kujitahidi kupenyeza mawazo hasi juu ya viongozi wanao kwenda kinyume nao.
Kwanini hawaendi kumdhibiti north korea?
Kwanini hawakwendi kudhibiti jamhuri ya watu wa china wakati aina ya utawala wa kiafrika unafanana sana na utawala wa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.