Recent content by Mfungaji

  1. M

    Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

    Serikali haifanyi biashara taahi.ra wewe, priority namba moja ni huduma bora kwa jamii, usafiri ni huduma ya jamii.
  2. M

    Wewe ni msomi halafu unavuta sigara, usomi wako una faida gani sasa?

    Mbona ilibadilishwa zamani sana nadhani wakati wa kugawanywa mashirika ya iloyokuwa jumuiya ya afrika mashariki.
  3. M

    Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

    Kweli usolijua ni kama usiku wa giza, hiyo miradi ya JPM ingekamilika akiwepo ndo mngemjua vizuri msukuma vile anapenda sifa, wafanyakazi wasingetamani aondoke madarakani, tulikuwa tumeshazoea sisi wenye akili, huwezi pingana na mabepari wakakupenda hivyo hata angesema akope pesa alipe mishahara...
  4. M

    Siku chache kabla ya kuachia madaraka, Kenyatta amteua Mkuu mpya wa Jeshi la Ardhini

    Alimaanisha Major General kwenda Lieutenant General, hiyo major general ndo katafsiri kuwa generali mkuu...[emoji28]
  5. M

    Bashe ulipitia JKT kweli?

    Inafanana na ya jeshi la wanyamapoli na nadhani hii ndo ilipelekea mkuu wao kuonya watu wanaovaa mavazi yanayofanana na uniform zao, bila shaka alikuwa akimuonya Bashe.
  6. M

    OMBI: Rais Samia mteue Wakili msomi Peter Kibatala kuwa Jaji

    Kwa uadilifu (integrity) upi alokuwa nao? au unadhani hayo mambo ni kama mnavyodanganyana mitandaoni!!!????...huna ukijuacho, hayo mambo hayahitaji ushabiki, kamuulize Mbowe kwanza kwa nini aliomba msamaha wakati hajatenda yale makosa kama mlivyoaminishwa.
  7. M

    Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

    Hatari kwelikweli wapi kwa kosa lile alitakiwa kufungiwa maisha, walianza kwa kupunguza adhabu ya wale maafisa wa Mbeya Kwanza ili Haji akipewa adhabu ndogo watu wasihoji na hapo watamwambia akate rufaa ili upunguzwe zaidi.
  8. M

    Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

    Kwani bandari ya bagamoyo hakuacha keshasainisha mikataba ijengwe, ilijengwa? Mbona mnajificha nyuma ya kibodi kumdhihaki JPM? simameni jukwaani mtukane muone kitachowapata, kamuulize Nape kule kwao nini kilitokea aliposena Mungu kaamua ugomvi.
  9. M

    Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

    Unaishi Arusha gani wewe taahi.ra? barabara ya nzuri kuliko zote hii ya njia nne kuja Tengeru alijenga bwanaako?!!
  10. M

    Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

    Hahahaaaa....hamtokaa msahau maishani mwenu vile "mshamba" aliwanyoosha na hatoki mioyoni mwa watanzania licha ya matusi na dhihaka za nyie mash..oga, mafisadi na vibaraka wa mabepari kila kukicha.
  11. M

    Siku chache kabla ya kuachia madaraka, Kenyatta amteua Mkuu mpya wa Jeshi la Ardhini

    Ni ADC wa zamani sio wa sasa hivyo lazima alikuwa keshapanda vyeo, mala nyingi ADC anakuwa kanali, akipandishwa cheo anakuwa Brigadier general na hapo kwa hekma tu hapashwi kuwa ADC hivyo ADC mpya huteuliwa.
  12. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Nimepigwa za uso, nimefika nikawakabidhi magamba yangu acha waanze kutafuta jina, walikuwa kama sita hivi mie nawacheki tu, wanauliza ka nimeona jina langu kwa mtandao nikawajibu sinauhakika sana sababu najua maelekezo ya NBS ni majina yabandikwe katani na huko kwa ofisi za kata hayapo, kazi...
  13. M

    DODOMA: Rais Samia kuunda Kamati Maalumu kufuatilia mwendo wa Majeshi yote nchini

    Alisema atakuwa Jaji Othman Chande na CS mstaafu, afu sio majeshi nadhani alisema mfumo wa haki jinai.
Back
Top Bottom