Recent content by MFUKUNYUFU

  1. M

    TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho

    Unaelewa ulichofanya kuweka picha ya mtu mwingine ktk profile yako ni kosa la jinai chini ya sheria ya mitandao? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Ya Mussa Sadiki wa Tabora kubambikiwa kesi na Polisi yatufumbue macho

    Ni kujivisha mamlaka yasiyo yao, polisi hana mamlaka ya kusema tumekamata mwizi au kibaka au jambazi hata wakikuta anaiba. Chombo pekee chenye mamlaka hayo ni Mahakama kupitia hukumu zake, na katiba inatambua kuwa mtu atahesabika hana kosa mpaka pale itakapodhibitishwa na mahakama. Sent using...
  3. M

    Ya Mussa Sadiki wa Tabora kubambikiwa kesi na Polisi yatufumbue macho

    Ni wazi lazima kumshukuru Rais kwa kile alichofanya kwa kijana huyu aliyekuwa amebambikwa kesi. Palepale mmeona Kamanda Msangi anasema walikuwa wameshatuma afisa mkuu lakini ukweli ni kwamba hata wangejua ukweli lazima wangeficha ficha. Kuna muda uwa nawaza ifike muda haya mambo ya tumeua...
  4. M

    GAME YA LEO CCL NI FINAL YA KUNDI D MNYAMA HACHOMOKI

    We uliyeandika huu utumbo bwege kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

    Nadhani mmejionea watanzania tulivo, mtu anapotoa mada kama hizi zenye kuhitaji umakini ktk ujibuji,zenye kuhitaji weledi na kukosoa palipo kosea lkn utaona mtu anaanza matusi,kejeli kumwona mwenzie si chochote, Sheria ni taaluma ambayo uhitaji mtu kuwa ktk trend ya usomaji wa sheria, sheria uwa...
  6. M

    Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

    Tafuta maamuzi ya high court ktk kesi ya yule Shekhe dhidi ya Babu Talle Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

    Nawewe jiandae dada yako akisafiri
  8. M

    Natafuta mke wa kuoa 0689899165

    Mpigie Asha ngedere 0997-505050 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Jaji Sumari amgomea Jaji Kiongozi kwenye kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica

    Ktk jinai kama hujui 1. Principal offender 2. Accessory before the fact 3. Accessory after the fact Utashangaa sana kwanini huyo mmiliki kaunganisha ktk hiyo kesi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

    Kwa akili yako ya mende unadhani yameisha? Na ni kweli alidhurumu MANA nyie hamueleweki, na mamlaka ya kupiga hao bodaboda walitoa wapi? Je nao wakipigwa watalalama?
Back
Top Bottom