[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana mpango wa kuweka viwanda 30 hapa tz Jomoniiiii!!!!
So sad [emoji24][emoji24][emoji24] machoz yamenitoka jamani, hakuna gumu la kumshinda Mungu. Kama Paulo na sila alivyoimba milango ya gereza ikafunguka na mlango wk kaka utafunguka soon!! Mungu awe nawe!!!
Mti wenye matunda siku zote ndo hupigwa mawe, wewe mtoa mada naona unachuki binafs na watumishi wa Mungu. Hiyo sio kazi yako usiingilie kaz ya Mungu na wewe tuna uhakika gn kua umefunuliwa na Mungu? Ck yakijufika ndipo utajua kweli kua hapa dunuani kuna nabii wa Mungu. Acha kupotosha watu wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.