Recent content by Mfilisiti

  1. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Ambao tunakesha leo - karibu hapa tuzogoe ☺️

    Kama ni hivo si hata wa kununua wapo? Kuipata Threesome wa kienyeji ambaye hajatumia hata mvinyo sio swala dogo.
  2. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Ambao tunakesha leo - karibu hapa tuzogoe ☺️

    ili iweje??
  3. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Ambao tunakesha leo - karibu hapa tuzogoe ☺️

    Briefly 1: Rangi nyeusi, any time any day. 3: Threesome. Hii ni dhambi ninayo itamani. Aibu utaona wewe😎
  4. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

    Mhaini😂 hujambo? Hopefully uko poa now
  5. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

    sema hata nyie wanawake umasikini wenu (ukilema) hua hamuutambui kabisa. in short mnajizima data
  6. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    R.I.P Mpauko, huyu member amenifanya nijue mwanaume hadi jamii ijue kuwa ulikuwa unayapitia ni hadi pale hilo tatizo litakupeleka either kaburini. Hakuna anaye jali mapito ya mwanaume ambaye hana uhakika wa kula kesho.
  7. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Binti unadai risiti hadi kwa Wafilisiti?
  8. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    naye akasitarehe siku ya saba
  9. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Binti Seran nione vya kurithi
  10. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Leo kabla jogoo hajawika machweo simu itaita, Mhaini una vitu vyako ujue, au niutangazie umma ulivyobarikiwa na Mwenyaaazi Mungu?😂
  11. Mfilisiti

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Mara nyingi washamba wa uchi ndio huangushiwa jumba bovu. Mhaini Hi😎
  12. Mfilisiti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbaya sana unamtongoza mdada anakujibu ana mtu!!

    Binti Mshana ashaanza kukuharibu kwa hizi picha😂
  13. Mfilisiti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbaya sana unamtongoza mdada anakujibu ana mtu!!

    Mwambie utampenda yeye na huyo mtu wake, kwani wewe sio Mtu?? But kwa uzoefu wangu hili ni jibu elekezi(wamelikariri)
Back
Top Bottom