Recent content by Mfilisiti

  1. Mfilisiti

    Daah Roho yangu inaniuma Maumivu ni makali sana naombeni msaada

    Naam mhalifu wangu niko poaa
  2. Mfilisiti

    Daah Roho yangu inaniuma Maumivu ni makali sana naombeni msaada

    Mkuu hapa kinachokuuma ni nini? Kwasababu hayupo tena ndo unalia jicho moja?? Mimi naona kausha tu kama ulivokaza mwanzo hakuna chochote kibaya.
  3. Mfilisiti

    Nahitaji mwenza

    utanipinga lakini huu ndio ukweli, achana na huko kwenu Duniani. Mtu kaajiriwa- huko makazini hamna wadada? Nyumbani- Majirani hamna wadada. Kijijini kwenu- hamna?? kwani profile hiyo imekaaje au CV ni mbovu kiasi gani. Mwisho: Ukiona wadada hawana time na wewe ongeza juhudi ya kujitafuta. hao...
  4. Mfilisiti

    Nahitaji mwenza

    Mara nyingi mwanaume wa hivi ana low self esteem.
  5. Mfilisiti

    Nahitaji mwenza

    hapo mtaani umekosa kabisa ambaye hana mtoto mkuu??
  6. Mfilisiti

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    mkuu hongera sana, ni mkeka wa tarehe 19 au umetoka hivi punde (leo)
  7. Mfilisiti

    PostGE2025 Kwenu nyinyi mnaombeza Augustino Polepole "Kisasi hakina Deadline"

    kisasi hata kitukuu yumo kwenye chain
  8. Mfilisiti

    PostGE2025 Kwenu nyinyi mnaombeza Augustino Polepole "Kisasi hakina Deadline"

    Watanzania tunaishi kwa mazoea sana, hata tarehe 29 wengi wenu mlitoa maneno ya kejeli mkisema ni mikwara tu, Je kilitokea nini?? Augstino Polepole amewapa masaa 24 ndugu yake awe amepatikana, kinyume na hapo ni kisasi. Augustino Polepole hajasema kisasi kitatekelezwa lini. Kisasi hakina...
  9. Mfilisiti

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu usihangaike na timu nyingi, Real Madrid anafungwa na Villarreal. mpe villarreall ana odd 6.17. Kama huna Roho Ngumu iache. but nawakumbusha Real Madrid hii mechi hata sare hapati.
  10. Mfilisiti

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    huu msimu ni kama tumetolewa kafara😂😂😂 Kila engo haigusiki, benifica anafirw* mbwa yule.
  11. Mfilisiti

    Nimegundua nipo kwenye level ya mwisho kabisa ya Maumivu

    Champion popote ulipo Amani iwe nawe. Level ya mwisho ya Maumivu kwa mwanadamu ni pale unapo achilia kicheko ili kuziba mwanya wa maumivu(demage) na si kuhuzunika. Kupitia maumivu nimeyatambua haya: 1: Ukiwa hapa Duniani, Ukiwa umepigika jua hiyo ndo jehanamu yako, achana na story za kuna...
  12. Mfilisiti

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂. Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
  13. Mfilisiti

    Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

    Mgeni amesema hataki soda anataka mia sita yake!!
  14. Mfilisiti

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii nimeiweka hata dakika tano hazikupita pesa ikawa imepepea hivyo
  15. Mfilisiti

    Watu wa Dar es Salaam, hii tabia ife

    Ukiishi Dar automatically unakuwa mjanja mjanja, Life la Dar liko speed sana bila ujanja ujanja hutoboi
Back
Top Bottom