utanipinga lakini huu ndio ukweli, achana na huko kwenu Duniani.
Mtu kaajiriwa- huko makazini hamna wadada?
Nyumbani- Majirani hamna wadada.
Kijijini kwenu- hamna??
kwani profile hiyo imekaaje au CV ni mbovu kiasi gani.
Mwisho: Ukiona wadada hawana time na wewe ongeza juhudi ya kujitafuta. hao...
Watanzania tunaishi kwa mazoea sana, hata tarehe 29 wengi wenu mlitoa maneno ya kejeli mkisema ni mikwara tu, Je kilitokea nini?? Augstino Polepole amewapa masaa 24 ndugu yake awe amepatikana, kinyume na hapo ni kisasi.
Augustino Polepole hajasema kisasi kitatekelezwa lini.
Kisasi hakina...
Mkuu usihangaike na timu nyingi, Real Madrid anafungwa na Villarreal. mpe villarreall ana odd 6.17.
Kama huna Roho Ngumu iache. but nawakumbusha Real Madrid hii mechi hata sare hapati.
Champion popote ulipo Amani iwe nawe.
Level ya mwisho ya Maumivu kwa mwanadamu ni pale unapo achilia kicheko ili kuziba mwanya wa maumivu(demage) na si kuhuzunika.
Kupitia maumivu nimeyatambua haya:
1: Ukiwa hapa Duniani, Ukiwa umepigika jua hiyo ndo jehanamu yako, achana na story za kuna...
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.