Nilikuwa naangalia taarifa ya habari tbc mchana huu nimeona waziri jaffo ametushauri sisi wanaume kuacha kunyonya maziwa ya mtoto, mneshimiwa sisi wengine bila kunyonya maziwa hata usingizi hauji ni kama dawa ya usingizi.
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari tbc mchana huu nimeona waziri jaffo ametushauri sisi wanaume kuacha kunyonya maziwa ya mtoto, mneshimiwa sisi wengine bila kunyonya maziwa hata usingizi hauji ni kama dawa ya usingizi.
Habari wakuu, mdogo wangu amesoma B.A in Public Relations and advertising pale UDSM, kasugua Gaga mtaani miaka miwili Sasa ameamua kusoma diploma ya Clinical medicine chuo flani, Sasa je Kuna uwezekano akapunguza msoto kidogo na kupata pa kujishikiza??
Habari wakuu, mdogo wangu amesoma B.A in Public Relations and advertising pale UDSM, kasugua Gaga mtaani miaka miwili Sasa ameamua kusoma diploma ya Clinical medicine chuo flani, Sasa je Kuna uwezekano akapunguza msoto kidogo na kupata pa kujishikiza??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.