Recent content by meukza

  1. M

    TFDA na TBS wanafanya kazi moja?

    Ni kweli TFDA na TBS wanafanya kazi moja na siyo hao tu kuna taasisi zaidi ya saba zinafanya kazi moja. Kwa wenye viwanda ongeza OSHA, WMA, FIRE, NEMC, COUNCILS na nyinginezo. Ukizichunguza hizi taasisi zote zinarudia kile ambacho wengine wanafanya. Ukiwauliza wote wanasema wameanzishwa kwa...
  2. M

    Uingizaji sukari vs uingizaji mayai, tuache unafiki

    Sukari Tanzania inatumika kama silaha. Wiki jana kwa mfano Mwanza Sukari 50kg ilikuwa Tsh 70,000/= leo 80, 000/= kisa sukari ya nje imepigwa mkwara. Kabla ya hapo walidai ni heri wafunge viwanda kwani sukari zimejaa stooni iweje leo bei ipande kwa kiasi hiki!! Nadhani kuna haja ya kuangalia...
  3. M

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Kipato cha 1.2M kwa mwezi, kwahiyo nimshahara. Kama ndicho kipato chako no way ukawa bilionea. Chukua maamuzi magumu, fanya biashara. Anza kama walivyoanza mzee Mengi, Bakheresa, kwa ufupi jifunze kutoka kwa mabilionea unaowafahamu kama Stive Job, Bill Gates, Warren Buffet n.k. mwisho soma Rich...
  4. M

    Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

    Kama ndizo CV zao, inabidi turudi nyuma tutafakari upya vyeti vya watu na tusibakie kuona CV. Ni heri kuwa na form iv aliyesoma na kuelewa vizuri alichofundishwa kuliko kuwa na form iv aliyeshindwa akatumia udanganyifu mpaka Phd ya kuchonga. Kama mleta mada na wachangiaji ni wasomi wa Tanzania...
  5. M

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Mambo mengi yanayoongelewa yanaukweli ndani yake. Tunatofautiana tabia kutokana na makuzi pia mazingira. Unayoyaona kwa hawa mabinti yapo kila sehemu, kuna mabinti wa kichaga wazuri sana kitandani na wapo pia goi goi vivo vivo kwa kila kabila. Tatizo kubwa la wamachame ni kwamba hawataki upuzi...
  6. M

    Tanzania Yaongoza Unywaji wa Mataputapu

    Mataputapu!!! Sijui nini maana yake halisi, ila nadhani ni pombe za asili za watanzania. Tunaaminishwa na kuamini kila chetu ni cha kishenzi ndiyo maana tunachezea fedha za kigeni ambazo hatuna kuagiza hata vitu ambavyo tungeweza kutengeneza wenyewe. Kwa namna nijuavyo mimi duniani kote kuna...
  7. M

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    Akamuulize Raila Odinga yaliyomkuta. USA walimtaka sana tena bila kumumunya maneno.
  8. M

    Bosi wa fastjet afikishwa mahakaman kwa kuwatukana wafanyakazi ngozi zao mbaya

    Kuwa Bosi haimaanishi naye hajui ngumu, unaweza funga mlango na ukashikishwa adabu. Kama wewe ulishajaribu ukafanikiwa shukuru Mungu, wakati mwingine waweza juta kuzaliwa kwa kichapo.
  9. M

    Men and Women Can't Be "Just Friends"

    At a certain time they can but as time go on they may fall. Friendship start with love and end up with relationship. This is reality.
  10. M

    Kauli hii ya Mch. Antony Lusekelo (Mzee wa Upako) sio ishara ya kujisahau?

    Huyu mchungaji ana shida kidogo katika uelewa, kwanza kwanini kiongozi wa dini akamatwe? Kiongozi wa dini asiyejiheshimu atakamatwa kwa mujibu wa matendo yake, kwani wapo waliojificha kwenye dini wakati ni wahalifu wakubwa. Leo usiku nimemsikia akisema wasichana wanakuwa na matiti yaliyolala na...
  11. M

    Maajabu ya herufi "k"

    Kifo Kilimajaro Kiss Kenya
  12. M

    Ndugai: Wanaonipigia simu wanaomba pesa

    Kwenye mdahalo na Mh. Lissu ITV, Mh Ndugai alisema wanatumiwa sms za matusi, leo wanaombwa fedha!!!! Kipi ni Kipi??!!
Back
Top Bottom