Ni kweli TFDA na TBS wanafanya kazi moja na siyo hao tu kuna taasisi zaidi ya saba zinafanya kazi moja. Kwa wenye viwanda ongeza OSHA, WMA, FIRE, NEMC, COUNCILS na nyinginezo. Ukizichunguza hizi taasisi zote zinarudia kile ambacho wengine wanafanya. Ukiwauliza wote wanasema wameanzishwa kwa...
Sukari Tanzania inatumika kama silaha. Wiki jana kwa mfano Mwanza Sukari 50kg ilikuwa Tsh 70,000/= leo 80, 000/= kisa sukari ya nje imepigwa mkwara. Kabla ya hapo walidai ni heri wafunge viwanda kwani sukari zimejaa stooni iweje leo bei ipande kwa kiasi hiki!! Nadhani kuna haja ya kuangalia...
Kipato cha 1.2M kwa mwezi, kwahiyo nimshahara. Kama ndicho kipato chako no way ukawa bilionea. Chukua maamuzi magumu, fanya biashara. Anza kama walivyoanza mzee Mengi, Bakheresa, kwa ufupi jifunze kutoka kwa mabilionea unaowafahamu kama Stive Job, Bill Gates, Warren Buffet n.k. mwisho soma Rich...
Kama ndizo CV zao, inabidi turudi nyuma tutafakari upya vyeti vya watu na tusibakie kuona CV. Ni heri kuwa na form iv aliyesoma na kuelewa vizuri alichofundishwa kuliko kuwa na form iv aliyeshindwa akatumia udanganyifu mpaka Phd ya kuchonga. Kama mleta mada na wachangiaji ni wasomi wa Tanzania...
Mambo mengi yanayoongelewa yanaukweli ndani yake. Tunatofautiana tabia kutokana na makuzi pia mazingira. Unayoyaona kwa hawa mabinti yapo kila sehemu, kuna mabinti wa kichaga wazuri sana kitandani na wapo pia goi goi vivo vivo kwa kila kabila. Tatizo kubwa la wamachame ni kwamba hawataki upuzi...
Mataputapu!!! Sijui nini maana yake halisi, ila nadhani ni pombe za asili za watanzania. Tunaaminishwa na kuamini kila chetu ni cha kishenzi ndiyo maana tunachezea fedha za kigeni ambazo hatuna kuagiza hata vitu ambavyo tungeweza kutengeneza wenyewe. Kwa namna nijuavyo mimi duniani kote kuna...
Kuwa Bosi haimaanishi naye hajui ngumu, unaweza funga mlango na ukashikishwa adabu. Kama wewe ulishajaribu ukafanikiwa shukuru Mungu, wakati mwingine waweza juta kuzaliwa kwa kichapo.
Huyu mchungaji ana shida kidogo katika uelewa, kwanza kwanini kiongozi wa dini akamatwe? Kiongozi wa dini asiyejiheshimu atakamatwa kwa mujibu wa matendo yake, kwani wapo waliojificha kwenye dini wakati ni wahalifu wakubwa. Leo usiku nimemsikia akisema wasichana wanakuwa na matiti yaliyolala na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.