Recent content by Metadata

  1. Metadata

    Natafuta chumba cha kupanga kinondoni, wiki mbili

    Wadau natafuta chumba cha kupanga kwa wiki mbili maeneo ya kinondoni. Mi ntakua dar kikazi Tar 27 March - 08 April, hivyo chumba kiwe furnished. Maeneo ya kinondoni, au karibu na town. Whatsapp +48519634862
  2. Metadata

    Nahitaji gari ya kukodisha Dar es Salaam

    Habari Wadau, Natafuta gari ndogo (Sedan) ya kukodisha kwa matumizi binafsi route za Dar tu, dereva nitakuwa mwenyewe, wiki 2 kuanzia 27 March 2023. For now niko abroad ila tunaweza arrange in advance. If any deal is available, please whatsapp me via +48573178655 Regards.
  3. Metadata

    Tatizo la shoti kwenye vitanda vya Aluminium

    Mlikimbia Physics ya form 2 kwenye Static Electricity. Inaitwa Getting Zapped! Na inaonekana una bed sheet of synthetic nature na humidity at your home is too low. Technically caused by Triboelectric effect caused by static cling >>Electrification by contact . Sio tu bed sheet au blanket...
  4. Metadata

    AirBnB inafanyaje kazi?

    I PM you boss, thanks.
  5. Metadata

    Msaada kwa yeyote anayeijua biashara ya Amazon FBA

    Nimefanya kazi na amazon (french site), CS agent. Kwa policy za Amazon inabidi uwe umejipanga kweli kweli, maana wao ni customer satisfaction oriented so anything fishy with the product or shipping /delivery it will costs you. I'm not scaring you but 90% of the time 3tier Marketplace Sellers...
  6. Metadata

    NIT: Bsc. Air Craft Maintenance Engineering

    Wakuu habari! Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ? Naomba ushauri. Thanks
  7. Metadata

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Same case here for DIT, request code not sent.
  8. Metadata

    Naomba mwenye kitabu cha Principles of Physics for class XI, S Chand

    +48519634862 whatsapp, kindly send to me sir. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Metadata

    Master's scholarship in Poland for engineering/ Science students (fully funded)

    Masters scholarship in Poland , fully funded (Monthly allowance+ Tuition fees) / DEADLINE 16 MARCH 2020. Eligibility: 1. ONLY Science background (bachelor degree) graduates. In this program masters program offered are courses ranging from engineering and technical sciences, agricultural...
  10. Metadata

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Masters scholarship in Poland , fully funded (Monthly allowance+ Tuition fees) Eligibility : 1. ONLY** Science background (bachelor degree) graduates. In this program masters program offered are courses ranging from engineering and technical sciences, agricultural sciences, exact sciences...
  11. Metadata

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Please add me, i have to share something +48519634862 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Metadata

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    https://scholarshipscorner.website/list-of-international-internships-2020/?fbclid=IwAR2MlcN34fWKYnwlLjKBEZo80XxTaKa5_T4IsX7HgiZQEO_eld9w00YjBC0 Or check https://iaeste.org/ Or whatsapp me for more assistance +48519634862 Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Metadata

    Shuhuda ajali ya moto Morogoro: Sitaki kukumbuka

    Hakika tunakumbushwa kua hatuishi siku zote, na kifo ni fumbo la mwanadamu. Cha msingi tutumie matukio kama haya kujifunza na kuweka record yasitokee tena hasa kwa kupunguza maafa yake. Nakumbuka nikiwa mdogo lishawai tokea tukio la hivi hivi na kisa ni uchotaji mafuta wa namna hii mara ajali...
Back
Top Bottom