Habarini ndugu zangu na poleni kwa majukumu ya kila siku. Moja kwa moja kwenye mada hapo juu. Kwa mtu yeyote anayejua namna ya kufanya biashara Amazon naomba anipe muongozo kwani natamani sana kufanya biashara ya namna hii. Nimejaribu kuifatilia jinsi inavyofanyika na nimegundua yafuatayo.
1. Sio lazima uishi huko majuu.
2. Unaweza kufungua account popote duniani ukiwa na computer yako na internet coverage ukafanya.
3. Ni salama na rahisi.
Namna inavyofanyika
1. Tengeneza sellers account
2. Tafuta bidhaa unayotaka kuuza kutoka kwa msambaziji
3. Itume kenda kwenye godauni zao, hapo watakuhifadhia na kukusaidia kufunga na kumpelekea mteja pindi atakaponunua.[storage unalipia kwa mwezi]
4. Weka orodha yako safi kwenye account yako ya mauzo ya Amazon. Panga bei, subiri mteja.
Changamoto niliyokutana nayo
1. Jinsi ya kufungua account ya muuzaji, hapa napata changamoto kwenye anuani nayotumia ya hapa bongo kwani wanataka verification ambapo watakutumia post card ili kuthibitisha makazi yako. Nimejaribu sana kuwaeleza kuwa anuani ni sahihi lakini kila mara naambiwa address verification failed due to invalid address.
Kama kuna anayejua namna ya kufanya naomba anisaidie ili niweze kuiwezesha account yangu.
2. Nikijaribu kutumia address ya mtu mwingine aliyeko nje, napata shida kwenye bank account details. Wananitaka kuweka bank za kwao. Binafsi sina. Bank za huku zinakuwa not supported.
Kwa yeyote anayejua, naomba msaada tafadhali. Karibuni
1. Sio lazima uishi huko majuu.
2. Unaweza kufungua account popote duniani ukiwa na computer yako na internet coverage ukafanya.
3. Ni salama na rahisi.
Namna inavyofanyika
1. Tengeneza sellers account
2. Tafuta bidhaa unayotaka kuuza kutoka kwa msambaziji
3. Itume kenda kwenye godauni zao, hapo watakuhifadhia na kukusaidia kufunga na kumpelekea mteja pindi atakaponunua.[storage unalipia kwa mwezi]
4. Weka orodha yako safi kwenye account yako ya mauzo ya Amazon. Panga bei, subiri mteja.
Changamoto niliyokutana nayo
1. Jinsi ya kufungua account ya muuzaji, hapa napata changamoto kwenye anuani nayotumia ya hapa bongo kwani wanataka verification ambapo watakutumia post card ili kuthibitisha makazi yako. Nimejaribu sana kuwaeleza kuwa anuani ni sahihi lakini kila mara naambiwa address verification failed due to invalid address.
Kama kuna anayejua namna ya kufanya naomba anisaidie ili niweze kuiwezesha account yangu.
2. Nikijaribu kutumia address ya mtu mwingine aliyeko nje, napata shida kwenye bank account details. Wananitaka kuweka bank za kwao. Binafsi sina. Bank za huku zinakuwa not supported.
Kwa yeyote anayejua, naomba msaada tafadhali. Karibuni