Wakuu habari!
Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ?
Naomba ushauri.
Thanks
Umenikumbusha petrolium engineering! Anyways mwisho wa siku hamna mtu anaye ijua kesho kama unaipenda kasome mambo ya ajira mtajuana mkimaliza.Wakuu habari!
Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ?
Naomba ushauri.
Thanks
soma chochote kile unachokipenda usifuate watu.Wakuu habari!
Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ?
Naomba ushauri.
Thanks
soma ukikosa ndege utatengeneza gariWakuu habari!
Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ?
Naomba ushauri.
Thanks
Sasa kwanini asisome mechanical engineering au automotive engineering?soma ukikosa ndege utatengeneza gari
Hongera yako kwa kuwapa nondo vijana,Umenikumbusha petrolium engineering! Anyways mwisho wa siku hamna mtu anaye ijua kesho kama unaipenda kasome mambo ya ajira mtajuana mkimaliza.
NB: Kama hujachagua nakushauri ukasome civil au mechanical au electrical! Hizo ndio kozi mama za uhandisi hapa duniani na kwa nchi kama yetu hutolala njaa ukizisoma
Sio kwamba nakukatisha tamaa ila Unatakiwa ujue kwamba unaishi Tz sasa kuwa makini hizo unazo ziita "passion".Passion kaka
Thank you mkuu!Hongera yako kwa kuwapa nondo vijana,
umemshauri kwa moyo wote...Umenikumbusha petrolium engineering! Anyways mwisho wa siku hamna mtu anaye ijua kesho kama unaipenda kasome mambo ya ajira mtajuana mkimaliza.
NB: Kama hujachagua nakushauri ukasome civil au mechanical au electrical! Hizo ndio kozi mama za uhandisi hapa duniani na kwa nchi kama yetu hutolala njaa ukizisoma