Recent content by Mesorphine

  1. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🙏🙏🙏
  2. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwahio kama Nimeweka Group qualification- Tanzania No Kumbe nisubiri Hela tuu. Mana nimewin
  3. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hello wadau, Kwa wale tuliobet Tanzania asi qualify Na akaenda kama best loser Kuna ambao mshalipwa. Group qualification- Tanzania No
  4. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hello wadau, Kuna anaecheki game ya Tottenham Hotspur kama anadalili za kupata Goli...? Au Nicash out tuu kidgo kilichopo kuokoa jahazi??
  5. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ni huduma gani ya uhakika?

    Hii plastic card unaipata wapi Na Je unaitumia kwenye sehemu Gani mana Kuna maeneo yana bank zile common tuu Sasa hio card itakuwaje
  6. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pamoja Na ushauri wako wa kutuaminisha hivyo lkn bado watu Wana win, hata kama mech zisipokuwa Na mchongo bado kubeti kutabaki kuwa kugumu tuu, mana kama huwez jua daki 50 zijazo utakuw wafanya nini hivyo hivyo kwenye ubashiri lzm kuwe Na wanaokula Na wanaoliwa.
  7. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Wimbi la walimu kuhama CWT Tanzania limeshika kasi

    Cwt ipo ili CHAKUWAHATA iwe na nguvu kama cwt, Na ndan ya hii miaka 2 watapiga milio tuu mana hata viongozi wa mkoa Weng wanajua Hali ilivyo Ila wanangoja Hali iwe tete Zaid waje Na sera mpya wakat Huo itakuwa wameshachelewa
  8. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Napingana na wanaosema Usiweke pesa yote kwenye biashara mpya

    Maneno mengi Lakin Kuna kitu yamemiss.... Yan una akili timamu uweze kupata 20m au 90m Ila anahitqji ushauri ili kuongeza kipato..?? Kwamba hio Hela ameiokota..?? Kwanini asitumie mbinu hizo hizo alizopata 20m au 90m? Kama kumshauri awekeze sehemu ya fedha kwa kusikilizia Ni umasikini Basi...
  9. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Wimbi la walimu kuhama CWT Tanzania limeshika kasi

    Kwa kifupi tunahamia chakuwahata Na wao wakizingua tunarudi cwt, Lakin pia izo maswala nyeti Nani alikuambia cwt ndio wanasimamja...?
  10. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Aliyefanikiwa (HESLB LOAN) kipengele cha kujaza RITA VERIFICATION NUMBER (DEATH)

    Ukiona hivyo ujue huja verify Cheti cha kifo. Cha kufanya tumia namba iliopo kwenye Chet cha kifo then hakiki Rita, itakubali
  11. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

    Uko sahihi mzee baba Ila mdau anadhani kuwa ndan ya serikali kwa miaka 10 ndio amemaliza kila kitu... Mwenyewe ajira ya 2022 physics nilianza Na D3
  12. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Epson toleo la ngapi ndiyo zuri?

    Vipi Mr.... Epson L3210 Ni toleo Zuri...?
  13. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Basic salary 390,000 - mkopo, take home Laki na thelasini, mtumishi wa umma, na bado tunataka huduma bora zenye ufanisi!

    Huyu analipwa 348k, hio 133k ni Baki ya akiba yake ya badae ashaichukua
  14. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kuondoa madoa na chunusi usoni

    Samahani hii sabuni nimeitumia na matokeo nimeyaona, naomba unisaidie je naweza endelea nayo au naweza badili na nikibadili nitumie ipi..?
  15. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Nautafuta huu wimbo

    Anaitwa Appy - Watu feki
Back
Top Bottom