Pamoja Na ushauri wako wa kutuaminisha hivyo lkn bado watu Wana win, hata kama mech zisipokuwa Na mchongo bado kubeti kutabaki kuwa kugumu tuu, mana kama huwez jua daki 50 zijazo utakuw wafanya nini hivyo hivyo kwenye ubashiri lzm kuwe Na wanaokula Na wanaoliwa.
Cwt ipo ili CHAKUWAHATA iwe na nguvu kama cwt, Na ndan ya hii miaka 2 watapiga milio tuu mana hata viongozi wa mkoa Weng wanajua Hali ilivyo Ila wanangoja Hali iwe tete Zaid waje Na sera mpya wakat Huo itakuwa wameshachelewa
Maneno mengi Lakin Kuna kitu yamemiss....
Yan una akili timamu uweze kupata 20m au 90m Ila anahitqji ushauri ili kuongeza kipato..?? Kwamba hio Hela ameiokota..?? Kwanini asitumie mbinu hizo hizo alizopata 20m au 90m? Kama kumshauri awekeze sehemu ya fedha kwa kusikilizia Ni umasikini Basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.