Yaani hakuna wakati watu wa upinzani mmewahi kupoteza mwelekeo km ktk utawala huu maana hakuna hoja zenye mashiko tena Bali ni vioja tu.
sasa kila jambo linalohusu chato ni kuponda tu bila hata hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli na mm ni miongoni mwa wasioelewa unacho maanisha.
Maana hawa Tra ni tatizo kubwa sn na wanaharibu maisha ya watu sasa hapo kosa la mkuu wa mkoa siyaoni.
Sikatai kwamba ktk serikali hii yapo mapungufu kadhaa lkn hii haimpi uharali wowote mtu km Nape leo kujifanya mkosoaji mkuu kwangu mm kumbukumbu za mambo ya hovyo yaliyofanywa na hawa kina Nape zibaki mbichi miaka zaidi ya miambili.
Sasa kweli insue km hii inaulazima gani mpaka uiwekee mitandaoni? Wewe ni mkatoriki kweli? Maana ungeweza kukaa kimya tu km hujui namna sahihi ya kufikisha hayo malalamiko yako mahala husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.