Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,353
- 81,758
Watu wa Dar bwana! Yaani siku ya jana walikuwa busy kupigana vikumbo eti kwenda kushuhudia tamthiliya yao pendwa ya Sultani ikifikia tamati! Haya ni maajabu ya dunia! Na Nape naye kumbe alikuwepo!
Eti walitakiwa wavae Kisultani na Kihurem nani sijui vile na wakavaa kweli! Muda huo wazee wa mikoani tulitingwa na mechi ya Afcon kati ya Burundi dhidi ya Nigeria! Aisee wacha tu mjengewe flyovers! Maana mnastahili.
Eti walitakiwa wavae Kisultani na Kihurem nani sijui vile na wakavaa kweli! Muda huo wazee wa mikoani tulitingwa na mechi ya Afcon kati ya Burundi dhidi ya Nigeria! Aisee wacha tu mjengewe flyovers! Maana mnastahili.