Recent content by mese masembo

  1. mese masembo

    Wapi maeneo ya Pwani naweza pata ng’ombe wa maziwa wazuri?

    Mkuu naomba maelekezo kufika hapo chalinze kwa Kikwete wanapofuga hao ng'ombe wa maziwa nahitaji ngombe na kujfiunza pia asante sana..
  2. mese masembo

    NHC ni bomu litalolipuka ndani ya miaka miwili hadi mitano

    nyumba za nhc za miradi inayojengwa haziendani na kipato cha watanzania, hili halina ubishi kabisa.
  3. mese masembo

    Jipatie simu nzuri kwa TSH 55,000/= tu, Samsung A817

    simu nzuri bei poa sema mfuko umetoboka, niwekee moja mwisho wa mwezi
  4. mese masembo

    Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

    Poleni wenye tattizo hilo, wataalamu wa tiba asili wapo wapi humu?
  5. mese masembo

    Pikipiki Cruiser mbili zinauzwa bei poa

    labda ni zote mbili kwa bei hiyo ! Manake hajafafanua pale juu
  6. mese masembo

    Leseni mpya za biashara mbona majanga

    Leseni muhimu, ila hapo kwa tra kama vile huyo rafiki amedanganya, tra wanakupa tin lazima wakutembelee. Leseni ndio lazima utembelewe.
  7. mese masembo

    Over a billion smartphones were shipped in 2013

    Shipped or sold, sijaelewa if shipped from where to where?
  8. mese masembo

    Partnership ktk insurance marketing

    intersted, vigezo vya partner wako viweje? Je tayari una ofisi?
  9. mese masembo

    Mikopo, Mikopo, Mikopo....... Kwa Wafanyabiasharaaaaa

    ???????!!!!!!!!!!!!!!!!
  10. mese masembo

    What humans may have looked like 7,000 years ago

    Mbona watu wa hivyo still tunaish nao, siamini utafiti huo
  11. mese masembo

    Google offers $3m to hack Chrome OS

    Hii ni fursa , vijana changamkieni
  12. mese masembo

    Animated avatar, au avatar inayochezacheza ?

    Msaada hata mimi naweka lakini inaganda tu
  13. mese masembo

    UMEONA hiii.....???!!!!

    Sio kitu cha duka hicho
Back
Top Bottom