Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Jun 28, 2012 #2 Huwa nafanya mazoezi ya aina hiyo ninaporuka kutoka kwenye kiti kimoja kwenda kingine kwenye dining table yangu
Huwa nafanya mazoezi ya aina hiyo ninaporuka kutoka kwenye kiti kimoja kwenda kingine kwenye dining table yangu
Badu JF-Expert Member Jun 2, 2012 407 106 Jun 28, 2012 #3 mathematics said: Click to expand... hv we si urikuwa kwenye kifungo pole mkuu hahahahaaa
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 Jan 28, 2014 #5 kwachini kabisa ya hilo shimo kunaweza kuwa na maji, just kwa tahadhari
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Jan 28, 2014 #6 Akifanikiwa anajisifu akiporonyoka utasikia Mungu/yesu wangu lol