Recent content by Meriiela

  1. Meriiela

    Nina vigezo vyote lakini nimekosa mkopo, Waziri Ndalichako unaliangamiza Taifa

    Serikali haitaki sema ukweli..... Haina hela..
  2. Meriiela

    Sasa naiona TISS ile niliyoitaka. Hongereni sana wana TISS wote!

    Na LUGUMI pia..... Mbona kaipiga chini??
  3. Meriiela

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    [emoji40][emoji40][emoji40]
  4. Meriiela

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    MUNGU akurehemu kwani hujui ulitendalo/ulisemalo....
  5. Meriiela

    Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

    Huyo aliye hvyo anajiita Mlokole na sio kweli ndvyo alivyo...
  6. Meriiela

    Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

    Ukimwona ambaye ni mzinzi sio Mlokole.... Muigizaji... Plz note hyo
  7. Meriiela

    Ushuhuda - Kuku wa kienyeji ..

    Aise.... Hebu tueleze kwa undani hapo....
  8. Meriiela

    Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

    Ushauri wangu ni huu... Kila mtu ana mapungufu kunapotokea mgongano wa tabia yake na ya meingine... Mme/mke mwema mtu hupata kutoka kwa BWANA.. Ukitangaza hapa nahisi sio sahihi kwani hakuna mtu aliye mhitaji asiyejifia vyema mradi apate anachokitaka.... So, unaweza mpata humu ila sasa...
  9. Meriiela

    The Hidden Secret Behind Toothpaste Bottom Color

    Is there truth abt ths??.. I wll luk 4 it....
  10. Meriiela

    Mwinjilisti amvaa Rais Magufuli, amuonya

    Anashaurika?? Je, ni kweli kwamba hadi kufikia kutoa kauli hzo hakuwa na washauri?? Ok... Labda kateleza au aliyasema hayo bila ya washauri wake kujua na wakati huo halipo ktk hotuba yake..... Je , baada ya one mistake hakuna marekebisho??.. ???.....
Back
Top Bottom