Ushauri wangu ni huu...
Kila mtu ana mapungufu kunapotokea mgongano wa tabia yake na ya meingine...
Mme/mke mwema mtu hupata kutoka kwa BWANA..
Ukitangaza hapa nahisi sio sahihi kwani hakuna mtu aliye mhitaji asiyejifia vyema mradi apate anachokitaka.... So, unaweza mpata humu ila sasa...
Anashaurika??
Je, ni kweli kwamba hadi kufikia kutoa kauli hzo hakuwa na washauri??
Ok... Labda kateleza au aliyasema hayo bila ya washauri wake kujua na wakati huo halipo ktk hotuba yake..... Je , baada ya one mistake hakuna marekebisho??.. ???.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.