Mwishon ndo umeharibu unafanya maomb kwa namna unayoijua ww lakin hujui kaz ya maombi.kaz ya maombi ni kuachilia nguvu za kimungu(kwa mwamin) na nguvu hzo mungu huzitumia kujibu utakalo kwa kuwa mungu huutawala ulimwengu kwa kutumia wamwaminio.hoja c mungu kuckia kama ni hivyo haina haja ya...
Cha msingi ni kumwamin na kumwabu huwaokoa na kila aina ya hatar wale wamwaminio.gharika ilitokea akampandisha nuhu kwenye safin.lakin pia cc sote tu wake huvuna kwa njia atakayo. Note mungu huwaadhibu watu na nchi isiyo na haki na yenye dhuruma kwa wanyonge maneno yako yanatosha kusababsha...
Mbona linear pro kila MTU huitumia kwa kujua au kutojua katka biashara na ndo maana kama umesoma maswali yake mengi yanahusu biashara na kuanzisha milad kama kushona nguo,kununua vitu kwa lengo la kumaximize profit
Wanasayansi wameeleza specific place ambapo solar eclipse itatokea na ikawa hvyo lakin ikumbukwe wakat yesu anakufa kupatwa kwa jua pia kulitokea nchi yote ikawa Giza so yanayotokea in just continuation.point ya msing kwa nn hao wanasayanc wanatumia theories kuelezea city kama why not reality...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.