Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,244
Hebu jiulize kwanini atheist wanatumia nguvu nyingi sana kupinga Mungu hayupo? Wanaandika vitabu, documentaries, interviews, kupinga tu uwepo wa Mungu.
Nani amewatuma while hakuna mtu anaelazimisha mtu imani. Hata Mungu mwenyewe, kwa uwezo alio nao akitaka anaweza kujionyesha kwamba yupo. Lakini ameamua watu watake kumfuata kwa imani.
Life is full of choices, ni kuamua tu, na Mungu ameruhusu hivo, uamue mwenyewe. Ndio maana hata watu wanaofanya mambo mabaya duniani wanaishi kwa raha na pengine matajiri kuliko wanaofuata dini
Lakini kitakachompata mtu, kwenye maisha haya, na hata ya baada ya kifo, yupo accountable mwenyewe. Ukiwa mwizi kitakachokupata siku ukikamatwa utajibu mwenyewe.
Ila tu, Mungu ameweka standards za mtu anaetaka kumfuata, ndio maana kuna Bible, Holy Spirit anaetuongoza kwa Mungu, Quran nk.
Ukiamua kumfuata Mungu, there is alot of resources ambazo sipo miaka na miaka. And He has open hands waiting for us. Ni choice yako tuu.
Yes. Tatizo kubwa watu wanapenda kulazimishiana kuwa kila mmoja anaona yupo sahihi.
Sio tu atheists ndio wanalazimisha wenzao hata kuna theists wanaolazimisha kufanya atheism ni wrong. Kila upande unaona upo sawa.
Lakini at the end, what matters is not you believe in god or not, it is how you lived. It is you actions.
Anayeamini mungu na asiyeamini mungu wakipanda mbegu za mchungwa watavuna machungwa. Walipanda mawe watakuta mawe vile vile. Hakuna something kuonyesha anayeamini mungu amevuna machungwa hata kama alipanda mawe. Ndio maana kuna atheists wanakutana na taabu za maisha na theists wanaokutana na taabu za maisha na experience nzuri za maisha. Hakuna hali ya kusema wenye imani fulani wana maisha mazuri au mabaya kwa sasa. Kila mtu anavuna anachopanda regardless what they believe.
What is important is your actions. No matter what you do, you will reap it. Every action has a reaction with the same frequency and rate as the action. Either from this life or next life(afterlife).
Kulazimishana imani does not change anything kama matendo ni mabaya. Hata kama mtu awe na imani gani.