Kura lazima inapaswa kuwa ya siri, au ccm inataka kutumia nafasi hiyo kuwaburaza wa bunge wake pamoja na wajumbe walio pewa shavu na mkuu wakaya.....wanataka kuwajengea nidhamu ya woga hapo
Vituo vya kuwekea mafuta kwa gari yako hapa dar Total , BP/Puma na Victoria hawa ndo uhakika, wengine wezi watupu.......Gapco walishaniwekea hewa mbumbavu zao, otherwise ukinunua mafuta kwao uhakikishe horse linatoa mafuta nasiyo linapuliza upepo
Hiyo siyo ajira bali ni matezo bora hata wangekuwa wanatembea nayo kulikoni, kusimama nalo pale siku nzima.....nawaonaga pale morocco hadi wanatia huruma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.