Kilimanjaro express na wizi wa mali za abiria

Kilimanjaro express na wizi wa mali za abiria

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,896
Reaction score
1,214
Salaaam wanajamvi,

Kwa machungu makubwa nnaomba niwataaadharishe wale wote wapenz wa bus za luxury kwamba znaulinz wa kutosha kwa KLM sio hivyo,leo nimesafiri toka Dar kuja Moshi lakini cha kushangaza wajanja wa nchi niwaite hivyo wameiba laptop yangu na pesa, wahudumu hawakutaka kunipa ushirikiano na wizi umetokea wakati wa kwenda kupata lunch pale highway Korogwe.

Kinachonisikitisha zaidi ni maelezo yaliyopo kwenye ticket yao yakiwa yanasomeka hivi "your safety is out concern" wataalam wa sheria na lugha mtanisaidia kulidadavua.

Angalizo tafuteni mabasi mengine yenye usalama na kuweni makini na assets zenu za gharama ndugu zetu wanaohudumi njaa kali inawaponza.
 
Watu wanaibiwa kwenye ndege sembuse haya mabasi, wizi upo kwa mabasi mengi ya mkoani ndugu yangu, jambo la muhimu ucjiamini sn kuacha mzigo wa dhamani ndani ya gari wakati wa kwenda lunch, wasafiri wengine wanakuwa wapo kazini maisha magumu haya.
 
Nasafiri sana na hizo bus,karibu mwaka wa 4 sasa.Wakifika Highway restaurant wanatangaza kabisa usiache laptop,kamera,simu au fedha unaposhuka kwenda kula.Wewe hukutilia maanani maelekezo itakuwa.
 
We ndo mpombav kuacha laptop humo ndani wakat wa kwenda. Sasa ndo ukome kujidai toz kumbe akili huna.geuza hiyo tiket kwa nyuma kisha usome maelekezo kwa abiria
 
kumtukana au kumsema kwa maneno mabaya mleta hoja sio busara mana yeye katuambia kama kututahadharisha mana yeye imeshamtokea na anatutahadharisha sisi sasa mnaoanza kutukana sioni kama mnastahili mara mara mjinga

sion kama hyo ni busara na cha maana ni kumpa pole na tumshukuru katuhabarisha mana sio kila siku jumapili na siku anaweza akawa mkeo,mwanao au mzazi wako na yakamtokea hay nae utamtukana???
Tutumie akili na busara kujibu hoja
 
kumtukana au kumsema kwa maneno mabaya mleta hoja sio busara mana yeye katuambia kama kututahadharisha mana yeye imeshamtokea na anatutahadharisha sisi sasa mnaoanza kutukana sioni kama mnastahili mara -------- mara mjinga,sion kama hyo ni busara na cha maana ni kumpa pole na tumshukuru katuhabarisha mana sio kila siku jumapili na siku anaweza akawa mkeo,mwanao au mzazi wako na yakamtokea hay nae utamtukana???
Tutumie akili na busara kujibu hoja

Umenifungua akili nami nilitaka kuingia kwenye mkumbo huo wa kutukana, lakini bado najiuliza unaachaje pesa ndani ya basi!!!, tunalima, tunafanya kazi, tunafanya biashara, wanafanya uchangudoa, wanaiba, wanafanya ushoga (Mungu apishilie mbali) yote ili kutafuata pesa, leo hii umezipata unaziacha ndani ya basi!!! Acha tu wenye akili nazo wachukue.
 
Mwenye KLM akiisoma hii thread, watu mtaanza kuibiwa hata kwenye mabuti. Ukienda kula highway, shuka na kiroba chako cha sukari.

Wapumbavu badala ya kupata shule toka kwa mleta mada, wanamkandya. anaewapeleka abiria highway ni nani? na kwanini awapeleke sehemu isiyo salama.? Vinginevyo mwenye basi atoe chakula km ambavyo anagawa vinywaji.

Ni ungese kumshambulia mleta mada. Keimanina!!!
 
KLM ni mali ya Sawaya. mtakumbuka mwaka 2004 Sawaya alikamatwa LIVE ndani ya godown Temeke akiiba matairi. yaani aliingia front mwenyewe. hapa kuna anaehitaji niendelee?
 
Huyu Jamaa ni Uzembe ulomsababishia yote haya.Juzi January nlikuwa naenda arusha Na "Ibra Line"tulipofika Rock Hotel pale Korogwe Mama Mmoja liyekuwa na Mtoto wa miaka miwili akashuka kwenda kula huku akiacha Simu Mbili kwenye kiti chake.

Ila naweza kusema karibia wote tuliosafiri siku ile tulikuwa na Allergy na tabia za udokozi. Aliporud kutoka kula akazikuta simu zake kama zilivyo kwenye kiti chake.

Sio vema kushuka kwenye gari huku ukiacha Valuable Items bila ya uangalizi wowote. Siku nyingine uwe Makini.
 
We ndo mpombav kuacha laptop humo ndani wakat wa kwenda. Sasa ndo ukome kujidai toz kumbe akili huna.geuza hiyo tiket kwa nyuma kisha usome maelekezo kwa abiria

Wewe n kichaa n nnawas wasi na matokeo yako kma umewah ingia darasan, na nnahis hiz bus hujawah panda, hakuna mahali walipoandika mizigo sio dhamana yetu.. N tofaut na hzo ulzozoea kupanda ww
 
KLM ni mali ya Sawaya. mtakumbuka mwaka 2004 Sawaya alikamatwa LIVE ndani ya godown Temeke akiiba matairi. yaani aliingia front mwenyewe. hapa kuna anaehitaji niendelee?

Well said mkuu, tumewasiliana nae sawaya baada ya watu kudai huu mchezo unachezwa na vijakaz wake, atalipa fidia coz ameshajifunga yy mwenyew kwenye ticket zake kwa kutuhakikishia usalama wetu... Waache watukane sku yao ipo watakuja humu na wengne wataamua jinyonga kabsa.
 
KLM ni mali ya Sawaya. mtakumbuka mwaka 2004 Sawaya alikamatwa LIVE ndani ya godown Temeke akiiba matairi. yaani aliingia front mwenyewe. hapa kuna anaehitaji niendelee?

Hakuingia front kwa nchambis bhana..wacha mboru
 
Wote mlioshambulia kwa matusi na maneno ya kejeli cjui ilshawatokea au ndo akili zenu znavowatumen kupost utoto jf....,Mungu awatangulie kama n ujumbe nmewafikishieni nyote.

Mzungu alitengeneza, mimi nkanunua na bwana mwizi akaiba,,,,laptop yangu ikamzimikie huyo alieiiba au atakae uziwa Amina.
 
Salaaam wanajamvi
Kwa machungu makubwa nnaomba niwataaadharishe wale wote wapenz wa bus za luxury kwamba znaulinz wa kutosha kwa KLM sio hvo,leo nmesafir toka Dar kuja mosh lakn cha kushangaza wajanja wa nchi niwaite hvo wameiba laptop yangu na pesa, wahudum hawakutaka kunpa ushirikiano na wiz umetokea wakat wa kwenda kupata lunch pale highway korogwe...Kinacho nisikitisha zaidi n maelezo yaliyopo kwenye ticket yao yakiwa yanasomeka hv "your safety is out concern" wataalam wa sheria na lugha mtanisaidia kulidadavua

Angalizo taften mabus mengne yenye usalama na kuweni makini na assets zenu za gharama ndugu zetu wanaohudum njaaa kali inawaponza..........

Siku nyingine ukisafiri kabidhi fedha zako kwa conductor wakulindie
 
Wale ndo wazembe wakubwa mkuuu walishuka wa kwanza kabsa na kutokomea paspo kujulkna....,
Asante kwa ushaur ndugu
 
Nasafiri sana na hizo bus,karibu mwaka wa 4 sasa.Wakifika Highway restaurant wanatangaza kabisa usiache laptop,kamera,simu au fedha unaposhuka kwenda kula.Wewe hukutilia maanani maelekezo itakuwa.

Mimi ndio bus ninazo safiri nazo pia ni kweli usemacho,gari ikifika highway hotel kwa ajili ya abiria kupata chakula wale wadada wahudumu ktk basi ututangazia kutoacha mizigo ya thamani inayobebeka kama camera,laptop , simu nk.

Labda mwenzetu hakuzingatia hiyo tahadhari iliyotolewa. Au mhudumu alizembea hivyo hakutoa tahadhari kwa abiria wake. Lakini mhusika hajatueleza alitakakupewa msaada au ushirikiano gani na wafanyakazi wa gari hiyo?

Maana kwa upande wangu angeomba apekekwe polisi ya wilaya ya korogwe atoe taarifa ya tukio la wizi polisi wangejua wamsaidie vp.
 
Kuna siku nilikuwa nasafiri na SHABIBY nikitoka Dodoma kwenda Dar. na tulipofika Moro wakati wa kula pale kwa Mama Nelly mzee mmoja aliacha laptop kwenye seat yake huku akimuamini jirani yake kwenye ile siti. Yule jamaa (jirani) alishuka na ile mashine na hakuonekana tena.

Suala la msingi ni kuwa makini na mizigo ya ndani. Pole mkuu kwa yaliokupata
 
Katika hali ya kawaida kabisa sidhani mtu anaweza kuacha Mali Kama hiyo ndani ya basi tena na pesa kabisa!!!!!
 
...kweli wizi upo popote, lakini wanaposema "ur safety is our concern" sidhani kama wanamaanisha pamoja na mizigo yako, mara nyingi kumekuwa na clause kwenye ticket nyingi zinazoondoa liability kwa kampuni husika dhidi ya ulinzi wa mali zako kwenye basi.
 
Back
Top Bottom