Wakubwa shikamooni,warika langu mambo vp?Wadogo zangu nipeni vifijo na nderemo.
Napenda kujumuika nanyi ktk hili jukwaa.Umri wangu ni miaka 25,ni kijana wa kiume,tena rijali.Ni matumaini yangu kuwa mtanipokea kwa stahiki.
Nape mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 ila bila kumumunya maneno kaka yangu wewe ni MBULULA na MBUMBUMBU.Hivi unadhani kiongozi wa wafungwa gerezani yeye ndiye msafi hana kifungo?Au tokea lini zulia likawa na uvungu?Hii misaada sio chochote kwetu Tanzania na kwa watanzania,hizi ni jojo kwa...
Tatizo vijana wengi mnaoingiaa kwenye siasa mnataka kuruka hatua muhimu.Yaani mtoto hawezi tembea kabla ya kutambaa.
ONYO:Kuwa mpigania haki za watanzania inahitaji uvumilivu mkubwa sana.CHADEMA mbele daima.
Hakuna kizuri kisicho na kasoro.CHEDEMA itadumu daima na uhuru wa watanzania utapatikana.NINYI vijana wa kuja mtalala chali tu na sera zenu za kimasalia.
Kwa akili ya haraka haraka bila shaka viongozi dhaifu wataamua kuhimiza nguvu za kijeshi zitumike,ili hali hao hao wanajeshi nao wanandugu zao miongoni mwa wanaoandamana.Hapa tuweke tofauti zetu pembeni na kukubaliana kuwa watanzania na sio watanzaudini
Mzee umeongea vyema,maana timu yayote ile lazima iwe na mshikamano ndipo itashinda.
Huwezi kuwa unawaza kumaliza mpira wakati ushindi hujapata.ZITTO kuwa na subira,Tanzania ni yetu sote.Pia kumbuka ndugu yangu ZITTO sio kila makaofi wanayokupigia ni ya sifa bali mengine yamejaa kejeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.