Mukama aibuka, aishambulia CHADEMA!

Mukama aibuka, aishambulia CHADEMA!

"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea, Kamati yetu ya maadili, **haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa", alisema Mukama na kuongeza:- "Sasa hivi vyama vingine vinaweza kufanya mchujo wa aina hii? thubutu.**

Hii kauli yake ana uhakika nayo ebu tuangalie
1. Lowasa - Amechaguliwa kwa kura nyingi hapo mwanzo walimtuhumu ni fisadi na anatakiwa kujiondoa hatua ya kumuondoa imeishia wapi kama ni msafi kwa sasa nini kimemsafisha?
2. UVCCM - Dickson Membe, fred Lowasa, Ridhiwani kikwete, Ashura mwinyi,Beny samwel Sita, Debora mwandosa, Iren pinda, Felister Ndugai, Christopher Ndejembi, Sharifa Bilary, hawa Kigoda, Judith Mukama & Jarome Msekwa- je tukijiuliza wote hawa ni waadilifu? au wamepitishwa kwa sababu ni watoto wao
3. Mukama anaweza kutuambia kuna mtoto yeyote wa hao wakubwa hakupitishwa katika huo mchakato wao?
4. Hivi Mukama hajui kama CCM ni BMW?(Baba Mama na Watoto)
 
"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea, Kamati yetu ya maadili, **haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa", alisema Mukama na kuongeza:- "Sasa hivi vyama vingine vinaweza kufanya mchujo wa aina hii? thubutu.**

Hii kauli yake ana uhakika nayo ebu tuangalie
1. Lowasa - Amechaguliwa kwa kura nyingi hapo mwanzo walimtuhumu ni fisadi na anatakiwa kujiondoa hatua ya kumuondoa imeishia wapi kama ni msafi kwa sasa nini kimemsafisha?
2. UVCCM - Dickson Membe, fred Lowasa, Ridhiwani kikwete, Ashura mwinyi,Beny samwel Sita, Debora mwandosa, Iren pinda, Felister Ndugai, Christopher Ndejembi, Sharifa Bilary, hawa Kigoda, Judith Mukama & Jarome Msekwa- je tukijiuliza wote hawa ni waadilifu? au wamepitishwa kwa sababu ni watoto wao
3. Mukama anaweza kutuambia kuna mtoto yeyote wa hao wakubwa hakupitishwa katika huo mchakato wao?
4. Hivi Mukama hajui kama CCM ni BMW?(Baba Mama na Watoto)
 
Mheshimiwa W.Mukama huo ndio uwezo wako wa kufikir au kuna mtu anafanya mambo yako??Wewe unaona upinzan wkt ya nyinyiem hauyaon?Are you WILSON MUKAMA or abdallah juma?Uamsho wamechoma makanisa znz+wengne mbg!!!?Badala ya kumshaur dhaif unakurupuka na cdm??
 
"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea, Kamati yetu ya maadili, **haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa", alisema Mukama na kuongeza:- "Sasa hivi vyama vingine vinaweza kufanya mchujo wa aina hii? thubutu.**

Hii kauli yake ana uhakika nayo ebu tuangalie
1. Lowasa - Amechaguliwa kwa kura nyingi hapo mwanzo walimtuhumu ni fisadi na anatakiwa kujiondoa hatua ya kumuondoa imeishia wapi kama ni msafi kwa sasa nini kimemsafisha?
2. UVCCM - Dickson Membe, fred Lowasa, Ridhiwani kikwete, Ashura mwinyi,Beny samwel Sita, Debora mwandosa, Iren pinda, Felister Ndugai, Christopher Ndejembi, Sharifa Bilary, hawa Kigoda, Judith Mukama & Jarome Msekwa- je tukijiuliza wote hawa ni waadilifu? au wamepitishwa kwa sababu ni watoto wao
3. Mukama anaweza kutuambia kuna mtoto yeyote wa hao wakubwa hakupitishwa katika huo mchakato wao?
4. Hivi Mukama hajui kama CCM ni BMW?(Baba Mama na Watoto)
 
Day dreaming is the problem to recently CCM leaders.
###### T 2015 CDM ######
 
Mukama Namuheshimu kwa Umri wake lakini Namdharau kwa maneno yake!
 
Hii ndo sisiemu na huyu ndo jembe lao, haki ya nani wala msiulize kwanini tz inazidi kuwa masikini kama kweli washauri wa viongozi ndo hawa!!!! Ni yale yale tu ua kujibu maswali ya leo kwa kutumia majibu ya zamani!!!!!
 
Tatizo la nyie mavuvuzela na vilaza wa cdm na movement for chagan badala ya kujibu hoja mnaanza kumshambulia mtu, kutukana na ujinga kama mlivyo. Hoja inajibiwa kwa hoja.Hii inaonyesha ni kiasi gani kwamba wote hamanzo na hamfikiri kwanini kikundi chao si chenu hakifanyi uchaghuzi wa maana kama CCM. tUKIWAAMBIA MNAKUJA JUU, LAKINI NI KWASABABU NI VILAZA, wakati mwingine uwa nabaki kucheka nikivifikiri hivi hawa ni binadamu au manyani, maanake hamna tofauti ni kwa sababu tu mnaweza kuongea pumba lakini kwa matendo nyani zaidi yenu. Wapuuzi nyie ongea na jibu hoja. Mh MUKAMA KASEMA UKWELI MNGEKUWA NA AKILI MNGEWAULIZA VIONGOZI WAO MAANA si WENU kwamba hivi uwa mnapataje viongozi wenu maana si wenu badala ya kushabikia ujinga
 
Kwa hiyo hawa mbwiga CCM hawawezi kusema lolote bila kuitaja Chadema, ama kweli Chadema imishika CCM masaburi.

wewe ndio unawaona hao wachaga wenzako ni wa maana lakini mukama ameeleza ukweli wake,ni uhuru wa kutoa maoni si lazima uropoke kama ulivofanya hapo juu
 
Mheshimiwa W.Mukama huo ndio uwezo wako wa kufikir au kuna mtu anafanya mambo yako??Wewe unaona upinzan wkt ya nyinyiem hauyaon?Are you WILSON MUKAMA or abdallah juma?Uamsho wamechoma makanisa znz+wengne mbg!!!?Badala ya kumshaur dhaif unakurupuka na cdm??

na hao yahudi waliokojolea msahafu vipi?mukama hawezi kurudia maneno yalyotolewa na kiongozi mwenzake nape jana lakini pia lazima awaambie wachaga ukweli ili waache kujipendelea,wajue kuwa siasa sio mbege
 
hakuna msafi ccm...kumeja uozo na ufisadi hakuna wa kumuamin hao wazee...2015 ndyo mwisho wao..ni wakati wa cdm kuchukua dola na kuleta mabadiliko..
 
Back
Top Bottom