Zifahamu Templates za 'Business Plan' na 'Financial Reporting' Zitakazokusaidia Kupata Mkopo wa Benki au Mwekezaji Kwenye Biashara Yoyote
Ili mpango wako wa biashara (Business Plan) ukubalike na mabenki, taasisi za kifedha, au wawekezaji wakubwa kwenye mradi au biashara yoyote, hauwezi kusimama...
"Money Won't Matter in 2036"
Utabiri wa Elon Musk kwamba fedha zinaweza kuwa “hazina umuhimu” (irrelevant) karibu na mwaka 2036.
Musk ameeleza kuhusu mustakabali wa miaka 10–20 ijayo ambapo AI na roboti zinaweza kufanya kazi nyingi za binadamu kuwa za hiari, na hivyo kupunguza sana umuhimu wa...
Mwanadam huyuhuyu ambaye mpaka leo mwaka 2026 akili zake haziwezi kuhesabu hata nywele zake za kichwani. Sasa hapo utakuta anasubiri agundue mfumo wa kuzihesabu kwa computer. Mwanadamu ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu ila anajifanya ni mwerevu sana. Anaelewa taratibu na hawezi kujiongezea hata umri...
Hapo alisahau kipengele kimoja tu. Urithi unakua chini ya watoto lakini unasimamiwa na wazazi wote wawili kama wote wapo au mzazi mmoja kama mmoja hayupo duniani (hii ni pale tu watoto kama bado hawajapata mafunzo maalum ya kusimamia mali).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.