Recent content by Meneja Wa Makampuni

  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Natafuta MTU wa kuniandikia proposal ya biashara ya milioni Tano chap.

    Zifahamu Templates za 'Business Plan' na 'Financial Reporting' Zitakazokusaidia Kupata Mkopo wa Benki au Mwekezaji Kwenye Biashara Yoyote Ili mpango wako wa biashara (Business Plan) ukubalike na mabenki, taasisi za kifedha, au wawekezaji wakubwa kwenye mradi au biashara yoyote, hauwezi kusimama...
  2. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Taabu na Pombe ni Kaka na Dada

    Nimepitia comments za watu niwakali haswa wanatetea ulaji. Nina ndugu yangu hata yeye mwenyewe anatamani kuacha pombe. Naomba mbinu mtumishi.
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Templates za 'Business Plan' na 'Financial Reporting' zitakazokusaidia kupata Mkopo au Mwekezaji Kwenye Biashara

    Zifahamu Templates za 'Business Plan' na 'Financial Reporting' Zitakazokusaidia Kupata Mkopo wa Benki au Mwekezaji Kwenye Biashara Yoyote
  4. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Je ni Kweli Fedha Hazitakua na Umuhimu Ifikapo Mwaka 2036

    Ni kweli mkuu
  5. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Je ni Kweli Fedha Hazitakua na Umuhimu Ifikapo Mwaka 2036

    "Money Won't Matter in 2036" Utabiri wa Elon Musk kwamba fedha zinaweza kuwa “hazina umuhimu” (irrelevant) karibu na mwaka 2036. Musk ameeleza kuhusu mustakabali wa miaka 10–20 ijayo ambapo AI na roboti zinaweza kufanya kazi nyingi za binadamu kuwa za hiari, na hivyo kupunguza sana umuhimu wa...
  6. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Jesus will save you. Praise the lord. Amen
  7. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mwanadam huyuhuyu ambaye mpaka leo mwaka 2026 akili zake haziwezi kuhesabu hata nywele zake za kichwani. Sasa hapo utakuta anasubiri agundue mfumo wa kuzihesabu kwa computer. Mwanadamu ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu ila anajifanya ni mwerevu sana. Anaelewa taratibu na hawezi kujiongezea hata umri...
  8. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Nana dolls

    Ila ana mtoto. Utaweza kuridhika? Au utakua unaridhika na sura.
  9. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    Hapo alisahau kipengele kimoja tu. Urithi unakua chini ya watoto lakini unasimamiwa na wazazi wote wawili kama wote wapo au mzazi mmoja kama mmoja hayupo duniani (hii ni pale tu watoto kama bado hawajapata mafunzo maalum ya kusimamia mali).
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Wosia alioandika huyu mzee ni wa kibabe sana

    Sio rahisi mkuu. Ndio maana unaona makampuni yana exist yanaendelea kutoa huduma kwasababu ya kuweka mambo kama hivyo.
  11. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Wosia alioandika huyu mzee ni wa kibabe sana

    Atashangazwaje
  12. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Wosia alioandika huyu mzee ni wa kibabe sana

    Vinauzwaje mkuu, ni kama vile useme ni rahisi kuchukua pesa ya NSSF.
Back
Top Bottom