Safari ya Israeli kuitwa "taifa teule" inaanza na simulizi la imani ya kidini inayovuka miaka elfu tano iliyopita. Katika maandiko ya Torati na Biblia, Mungu alimchagua mzee Ibrahimu na kumfanyia agano la kipekee: kwamba uzao wake ungekuwa mwingi kama nyota za mbinguni na mchanga wa bahari, na...
Nahimiza vijana wasijali waingie Instagram, tiktok na Facebook wapost content zao watakua mamilionea siku za mbeleni. Huko hakuhitaji network wala connection ni ubunifu wako tu.
Wakati mvutano wa kisiasa na kijeshi ukiendelea kuongezeka katika eneo la Strait of Hormuz, Wataalamu wa sekta ya mafuta anaonya kuwa dunia inaweza kukabiliwa na msukosuko mkubwa wa nishati iwapo njia hiyo muhimu ya usafirishaji wa mafuta itavurugika.
Kutokana na changamoto hizo, wataalamu...
Ni viongozi wasomi ambao hawajastaarabika. Mtu msomi hawezi kuchanganya serikali ya kidini na serikali ya wananchi. Dini ni serikali pia, yeyote anaye jaribu kuingiza serikali ya kidini kwenye serikali ya wananchi anajaribu kujitengenezea dunia yake. Nikuulize wewe unaye watetea Iran, umewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.