Recent content by Meneja Wa Makampuni

  1. Meneja Wa Makampuni

    Natafuta Idea ya System Itakayozalisha Kipato

    Watafute Bongo Tech Giant
  2. Meneja Wa Makampuni

    Tuliaminishwa uongo na upuuzi

    Safari ya Israeli kuitwa "taifa teule" inaanza na simulizi la imani ya kidini inayovuka miaka elfu tano iliyopita. Katika maandiko ya Torati na Biblia, Mungu alimchagua mzee Ibrahimu na kumfanyia agano la kipekee: kwamba uzao wake ungekuwa mwingi kama nyota za mbinguni na mchanga wa bahari, na...
  3. Meneja Wa Makampuni

    Tofauti ya Malezi ya Watoto China na Afrika; China watoto wanasisitiziwa ukakamavu na mazoezi, Afrika tunawajaza dini za kigeni

    Wachina unaowazungumzia ndio hao wanaokuja Tanzania. Na watanzania ndio hao wanao wafanyia kazi na kuwabebea mizigo. Sasa hapo yupi mkakamavu?
  4. Meneja Wa Makampuni

    Kijana Mtanzania kama huna ndugu mwenye hadhi/cheo Please wake up, you need to fight diligently & hardly

    Nahimiza vijana wasijali waingie Instagram, tiktok na Facebook wapost content zao watakua mamilionea siku za mbeleni. Huko hakuhitaji network wala connection ni ubunifu wako tu.
  5. Meneja Wa Makampuni

    Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Una uhakika? Nina rafiki Mwiran kila siku nafanya kazi ya kumbembeleza na kumnyamazisha inbox.
  6. Meneja Wa Makampuni

    Dunia Iko Katika Hatari ya Nishati: Wataalamu wa Mafuta Washauri Kujengwe Bomba la Mafuta linalopitia Nchi Kavu Kuikwepa Strait of Hormuz

    Wakati mvutano wa kisiasa na kijeshi ukiendelea kuongezeka katika eneo la Strait of Hormuz, Wataalamu wa sekta ya mafuta anaonya kuwa dunia inaweza kukabiliwa na msukosuko mkubwa wa nishati iwapo njia hiyo muhimu ya usafirishaji wa mafuta itavurugika. Kutokana na changamoto hizo, wataalamu...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Una uhakika Iran wanaendelea? Kama wanaendelea kwanini kuna mfumko wa bei? Ngoja tuangalie hii exchange rate.
  8. Meneja Wa Makampuni

    Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Sasa una mawazo mazuri kwanini usiende linkedn kucomment kwenye hiyo post ili dunia nzima ione mkuu, naona haya mawazo ni mazuri hata kwa baadaye.
  9. Meneja Wa Makampuni

    Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Ni viongozi wasomi ambao hawajastaarabika. Mtu msomi hawezi kuchanganya serikali ya kidini na serikali ya wananchi. Dini ni serikali pia, yeyote anaye jaribu kuingiza serikali ya kidini kwenye serikali ya wananchi anajaribu kujitengenezea dunia yake. Nikuulize wewe unaye watetea Iran, umewahi...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Nyie ndio mnazungumzwa hapa. Ukitaka uelewe vizuri maisha ya Iran kaishi Iran kwanza au tafuta rafiki Mwiran.
Back
Top Bottom