Recent content by Meneja Wa Makampuni

  1. Meneja Wa Makampuni

    Tulia Ackson na Mwenyekiti wa CCM Mbeya Waendesha Kampeni Chafu za Ubunge Mbeya Mjini

    Kwani Kuna tatizo gani mkuu hilo swala liko ndani ya chama mimi sioni shida akizungumza hivyo.
  2. Meneja Wa Makampuni

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Samsung S10 5G ya mteja mmoja tayari imefunguliwa kwaajili ya kuihakiki.
  3. Meneja Wa Makampuni

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Simu Brand New zimefika BONGO tayari, tayari kwa kudeliver kwa wateja wetu walio agiza. Kuagiza simu mpya kutoka China tupigie au tutafute Whatsapp kwa namba 0687746471.
  4. Meneja Wa Makampuni

    Kampuni zinazotengeneza mitungi ya gesi hapa kwenye hichi kifuniko mnatesa wateja

    Hivi kampuni zinazotengeneza hii mitungi midogo ya gesi kwani hakuna namna hichi kifuniko cha plastic (seal) ikawekwa katika namna inayomuonesha mteja namna ya kukifungua? Au kuna namna yake ya kuifungua na mimi sifahamu ndugu zangu? Maana unakuta hadi unatumia pliers, kisu, screwdriver, etc...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Usiku huu umekuwa mgumu sana

    Wewe mbona una qualify kupata ufadhili jiunge na hawa jamaa huwa wanapost matangazo ya ufadhili: Follow the ScholarshipJunctionX channel on WhatsApp: ScholarshipJunctionX | WhatsApp-Kanal
  6. Meneja Wa Makampuni

    Sayansi katika siasa hutumiwa na vyama vya siasa na wanasiasa kwa namna nyingi

    Acha uongo hapana sayansi yeyote mkuu. Wengi niwakereketwa
  7. Meneja Wa Makampuni

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Kuna aliye kutapeli hapa boss? Kama kuna aliye kutapeli kuna kitengo cha kureport jamii forums. Namba zetu za simu ni hizi hapa 0687746471.
  8. Meneja Wa Makampuni

    Kwa mazingira ya sasa, Sioni Kitakachomzuia Ridhiwani Kikwete kuwa Rais wa Tanzania hapo Baadae

    Mimi naamini mtoto wa mseven anaweza kuchukua kiti bila msaada wa baba yake.
Back
Top Bottom