Recent content by Meneja Wa Makampuni

  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    CHEVENING SCHOLARSHIP 2027/2028 NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTER'S DEGREE) NCHINI UINGEREZA – CHEVENING SCHOLARSHIP 2027/2028 Ubalozi wa Uingereza unawataarifu wadau wa elimu na umma kwa ujumla kuwa maombi ya ufadhili wa masomo ya Chevening Scholarship kwa mwaka wa...
  2. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    COMMONWEALTH MASTER’S SCHOLARSHIPS 2027/2028 NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTER'S DEGREE) NCHINI UINGEREZA – COMMONWEALTH MASTER’S SCHOLARSHIPS 2027/2028 Maombi ya ufadhili wa masomo ya Commonwealth Master's Scholarship kwa mwaka wa masomo 2027/2028 yamefunguliwa rasmi...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Rubani wa F-15 wa Marekani asimulia alivyohangaika kwa saa 50 kwenye milima ya Iran

    Mifumo ipo advanced kivipi wakati ndege za uokoaji ziliingia Iran.
  4. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Rubani wa F-15 wa Marekani asimulia alivyohangaika kwa saa 50 kwenye milima ya Iran

    Mmoja wa maafisa wawili wa Jeshi la Anga la Marekani ambaye ndege yao ya kivita aina ya F-15E ilidunguliwa juu ya Iran mwezi Aprili, amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu tukio hilo. Kanali wa Jeshi la Anga la Marekani ambaye jina lake halijawekwa wazi kwa sababu za kiusalama, amezungumza kwa...
  5. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Siku za Mwisho zi Karibu Yesu Anarudi

    Tunapo endelea kutafakari matukio yakuogofya yanayo endelea kutokea duniani tusisahau kujitakasa miili na roho zetu ili muda utakapofika tufae mbele zake. Kujitakasa ni kujiweka mbali na dhambi. Kujitakasa ni kukaa mbali dhambi Kujisafisha miili yetu na roho zetu ili hatimaye tufae mbele za...
  6. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Mshahara wa dhambi ni mauti. Kama angekua anafanya kwa nia njema angepona ila kama alikua anafanya ili awe bingwa wa kufanya uzinzi na zinaa huwa ni ngumu sana kupona. Yesu wa Nazareti anarudi tumrudie Mungu watu wa Mungu. Yesu Kristo anachukia uzinzi na zinaa. Anachukia kizazi cha zinaa. Yesu...
  7. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kijana tangu unazaliwa hadi unafika miaka 45 hujawai pata gonjwa la zinaa au hata U.T.I mshukuru mungu

    UTI ni ugonjwa wa zinaa. Watu huwa wanapewa moyo tu.
  8. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Course gani za masters zina maslahi kwa mtu aliyesoma BSc. Ed

    Kimbia haraka kasome Masters in Chemistry, UDSM, MUCE au UDOM. Ukimaliza hapo tayari umeshatoboa.
  9. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Deogratius Nalimi Kisandu officially changed his name to CIVILIAN - COIN NALIMI KISANDU in the Tanzania Government Gazette published on August28, 2026

    Mkuu kama ukiamua kumkaribia Yesu unaweza kuwa mhubiri mzuri sana hapo baadaye. Biblia inasema kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amwaminie asipotee bali awe na uzima wa milele. Anza kwanza kumkaribia Yesu uwekeze akili zako kwa Yesu hakika kuna...
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Masikini wanabidi wazae watoto wachache na matajiri au watu wenye kipato kikubwa wazae watoto wengi na sio kama ilivyo Masikini wamekuwa wabishi sana

    Strong people create weak generations, and weak generations create strong people. Fuatilia vizuri utaelewa.
  11. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Karibu sana. Si kipimo kilekile. ppm ni kipimo cha concentration yaan parts per million (ppm). Maabara ya dhahabu inaweza kusema, kwa mfano, sampuli ina Au = 3 ppm, ambayo kwa ore ni sawa na takribani 3 g/t. Kwa hayo mawe kwenye picha yako, kuna mambo mawili tofauti: 1. Ukitaka kujua jiwe...
  12. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Kwa kuangalia picha pekee, haya yanafanana sana na corundum yenye rangi nyekundu/pink yaani ruby au pink sapphire rough, hasa hayo mawe matatu ya pink/purple. Jiwe la kijivu-bluu linaweza kuwa mineral nyingine au corundum yenye inclusions. Lakini siwezi kuthibitisha kuwa ni ruby kwa picha pekee...
  13. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ukiwa unajitafuta zima simu, usioe, jitenge, kaa mbali na dini. Utanishukuru baadaye!

    Walioa wake wasio wao. Watu wengi wanao oa baada ya kufanikiwa huwa wanaoa wake za watu. Wanatumia mafanikio, na pesa zao kuoa. Wanaiba wake za watu kwa kuwatamanisha mafanikio na pesa zao kisha wanaoa. Mke wa mtu hawezi kubeba baraka za mafanikio. Mwanamke asiye wako anabeba nguvu hasi za...
Back
Top Bottom