aisee pole najua upo kwenye hali ya maumivu ya moyo na hasira lkn ni bora kufikiria vizuri, mi ninaamini unamaisha yako tu ambayo Mungu amekupangia achana na kumlipizia kisasi kwa kumloga, jitahidi najua ni ngumu kutokana pia na hali uliyonayo ila jitahidi, maisha bado yanaendelea hujui kesho...
mi nadhani mmama ni mtu yeyote aliyezaa awe chini ya 30 au over 30 lakini ktk hao wamama kuna wamama vijana na wamama watu wazima ambao ni over 36 coz wengi wakishavuka 35 ujana unaondoka kabisa hayo ni mawazo yangu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.