Wanajamvi nataka vuta ndinga lakini ninapenda kuwa na gari inayonisaidia mishe yangu ya hapa na pale namaanisha ninayoweza imudu ningependa kujua mambo yafuatayo
1)utumiaji wa mafuta ukoje yaani Lita 1 ni km ngap high way na kwene jam?
2)upatikanaji wa spear zake ukoje?
3)nikifunga safari za...
Wewe kweli jingalao na hujui maana ya usalama wa TAIFA unafikili ni kama kuuza karanga kwa mtu anaeelewa wala hawezi sumbuka na mtu kuvaa sare nenda kalale
Hao kwani si wanajulikana ni wanausalama wa taifa mbona swali lako rahic ungeweza hata kuwauliza darasa la saba huko kwenu wakakujibnau ndio ile kukosa cha kupost
Unakimbia hoja bado hoja yako imejikita kwene fikra zako sio ambayo watz tunauhakika Nayo harafu usimwambie nenda shule usiyemjua unaweza jikuta wewe ndio watakiwa kwenda shule hoja yako ni dhaifu unasemaje PhD haijamsaidia wakati unaona ni mtumishi wa uma na yupo nafasi ambayo unaitaka hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.