Napendwa kuelimishwa juu ya hili gari la CARINA TI

melkiz

Member
Mar 20, 2017
21
16
Wanajamvi nataka vuta ndinga lakini ninapenda kuwa na gari inayonisaidia mishe yangu ya hapa na pale namaanisha ninayoweza imudu ningependa kujua mambo yafuatayo

1)utumiaji wa mafuta ukoje yaani Lita 1 ni km ngap high way na kwene jam?
2)upatikanaji wa spear zake ukoje?
3)nikifunga safari za dar-kahama/mwanza Mara 3 kwa mwezi itamudu kwenda na kurudi?

Naleta maada anaeelewa anisaidie.
 
Kachukue Leo Mimi ya kwangu Nina miaka sita naitumia. Muhimu ni kufanya service kwa muda.Mwaka juzi na mwaka Jana nimesafiri NATO Mara nane kwenda Arusha na bado inadai. Engine usiseme, ni roho ya paka. Spare popote unapata.
 
Kachukue Leo Mimi ya kwangu Nina miaka sita naitumia. Muhimu ni kufanya service kwa muda.Mwaka juzi na mwaka Jana nimesafiri NATO Mara nane kwenda Arusha na bado inadai. Engine usiseme, ni roho ya paka. Spare popote unapata.

Mkuu, ni services gani ambazo unazifanya mara kwa mara zimefanya gari yako idumu miaka mingi hivi? Hongera
 
kuna yenye 1.5L na 2.0L engine. kama mizunguko ya mjini mingi chukua hii ndogo ila kama safari ndefu ndio nyingi basi chukua engine kubwa.
 
Mkuu hiyo gari sio ya kujishaul we nenda kachukue ukishindwa kumiliki t i bhas hata pikipiki hautoiweza,,,,hiyo gar engine nzuri,,mafuta iko kawaida tu na safar apo ipo wala usihofu na spear mpaka vijijini zipo
Asante mkuu inatumia Lita 1 kwa kilomita ngapi highway na mjini?
 
Mkuu hiyo gari sio ya kujishaul we nenda kachukue ukishindwa kumiliki t i bhas hata pikipiki hautoiweza,,,,hiyo gar engine nzuri,,mafuta iko kawaida tu na safar apo ipo wala usihofu na spear mpaka vijijini zipo
Asante sana mkuuu
 
Mkuu hiyo gari sio ya kujishaul we nenda kachukue ukishindwa kumiliki t i bhas hata pikipiki hautoiweza,,,,hiyo gar engine nzuri,,mafuta iko kawaida tu na safar apo ipo wala usihofu na spear mpaka vijijini zipo
Umemaliza mkuu, gari ya mnyonge wa safari safari ndefu ndefu
 
TI ni gari kuukuu. Achana nazo.

Tafuta gari za miaka ya majuzi. Mfano Vits mpya, IST, Wish, n.k. Km hela haitoshi pambana zaidi achana na hilo mkweche.

Kweli utembelee TI miaka hii afu umeiagiza kabisa? Wabongo mna visa nyie....... hizo mileage endelea kutafuta zipo gari za majuzi unapata hizo au zaidi.

Km umetembea miaka yote kwa nini uharakishe kununua mkweche?
 
ila hii gari sio ya kununua tena kwa sasa, kwanza toyota haitengenezi tena hii gari , halafu haiko comfortable sana, ushauri wangu nunua toyota spacio, au runx , or alex, kama uwezo upo kiasi unaweza nunua toyota allion au premio , hizi ni the best car.
Nb: nahusika na kuuza magari toka kampuni ya Autocom Japan Inc Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan
pia waeza join my group ya whatssap kwa ushauri wa magari zaidi Autocom Japan Inc
 
ila hii gari sio ya kununua tena kwa sasa, kwanza toyota haitengenezi tena hii gari , halafu haiko comfortable sana, ushauri wangu nunua toyota spacio, au runx , or alex, kama uwezo upo kiasi unaweza nunua toyota allion au premio , hizi ni the best car.
Nb: nahusika na kuuza magari toka kampuni ya Autocom Japan Inc Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan
pia waeza join my group ya whatssap kwa ushauri wa magari zaidi Autocom Japan Inc
allex bei gani mkuu
 
Back
Top Bottom