Recent content by Meku85

  1. M

    Azam TV nitoeni ushamba kuhusu shuti la Dilunga

    Very simple ingekuwa on target lingekuwa goli sababu Mpira ungeingia ndani ya goli lakini sababu alipiga off target ndio ikagonga mwamba, na pia hivi haikuwa deflection kweli?
  2. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nadhani inawapunguzia maumivu kidogo..
  3. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Povu ruksa..
  4. M

    Engine oil ipi nzuri?

    Wakuu kuna mdau anadai hata "air cleaner" inaweza sababisha gari iwe nzito kuchanganya. Nlitoa iliyokuja na gari ilikuwa imetoboka nikaweka hizi za kichina za kariakoo, aina ya gari ni kluger.
  5. M

    Nimeweka Engine Oil 20w-50 X-trail NT30 (2003) nipo sawa?

    Wakuu nimewekewa "Quartz 5000 20w50-5L" kwenye Toyota Kluger V four yenye 46000+ km gari imekuja kuwa nzito sana kuchanganya. Ushauri wenu tafadhali
  6. M

    Engine oil ipi nzuri?

    Duuuh huu mchezo nahisi nimefanyiwa pale kamata @ The Wheel, gari inachelewa kuchanganya halafu ukiachia mafuta ndio inaongeza speed. Nliagiziwa na mtu nipeleke gari wafanye service ni Kluger asee kuja kuichukua haichanganyi kabisa..
  7. M

    Kwa Bajeti ya 300K naweza pata PC yenye Specification zipi?

    Kwa kuongezea hapo wadau mini lap aina gani ipo poa?
  8. M

    Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi

    Daaah asee uyo ASA au Asha ni kwikwi, wengine wote wanasubiri..
  9. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bikra ya unbeaten nani alikuvunja?? Tuanzie hapa
  10. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Muujiza wa kufungia mwaka, umefufuka??
  11. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Acha kuvuta bangi mbichi, Red Devil hajawahi kuwa kibonde kwa Ars8, hata bikra ya unbeaten United ndio alikuvunja..
  12. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Zungumzia timu yako acha kurukaruka kama popcorn
  13. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kibonde wako na kashakuchomeka goli 8 hebu tupunguze comedy..
  14. M

    Ipi ni njia sahihi ya kugawa mali/vitu vyako vya zamani kwa ndugu, jamaa au rafiki?

    Daaaaaah mekukubali sana kiumbe wewe kumbe ni Red Devil & Jangwani tupo pamoja chifu..
Back
Top Bottom