Very simple ingekuwa on target lingekuwa goli sababu Mpira ungeingia ndani ya goli lakini sababu alipiga off target ndio ikagonga mwamba, na pia hivi haikuwa deflection kweli?
Wakuu kuna mdau anadai hata "air cleaner" inaweza sababisha gari iwe nzito kuchanganya. Nlitoa iliyokuja na gari ilikuwa imetoboka nikaweka hizi za kichina za kariakoo, aina ya gari ni kluger.
Duuuh huu mchezo nahisi nimefanyiwa pale kamata @ The Wheel, gari inachelewa kuchanganya halafu ukiachia mafuta ndio inaongeza speed. Nliagiziwa na mtu nipeleke gari wafanye service ni Kluger asee kuja kuichukua haichanganyi kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.