Recent content by Meiboki

  1. M

    CHADEMA si CHADEMA tena

    Siku sizonje akiruhusu siasa nakuambia tutamzika. Lazima pressure itampanda na kufa hapo hapo kwa mikutano moja tu. Kama yeye mwanaume kweli najaribu zone.
  2. M

    Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka

    Wewe Lumumba hata hii huoni? Nenda bureau Change uoni acha udenzi basi.
  3. M

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Lumumba na ninyi mnahangaika kuisafisha serikali yenu katili.
  4. M

    Je, Utawala Wa Rais Magufuli Ndiyo Wengi tuliutarajia?

    Laura Bagbo naye alikuwa na wafuasi kama alivyo Magu na yeye pia alikuwa anasema nalinda rasilimali za nchi yake. Lkn yuko wapi sasa. Magu namshauri asifikiri hicho kiti ni cha hadi kufa.
  5. M

    Je, Utawala Wa Rais Magufuli Ndiyo Wengi tuliutarajia?

    Umewahi katika maisha yako yote kuwa na rafiki asiye na vision? Au umewahi ukiwa shuleni mkaongozwa na kiranja kilasa? Magufuli hana vision kabisa. Na alipata nafasi hii bila kutarajiwa. Huyu anasogeza tu muda ili kiongozi wa nchi aingie. Yeye hana hata chembe ya uongozi kwa hiyo hajui...
  6. M

    Kurugenzi ya habari ya CHADEMA bado mko karne ya 19

    FM Lumumba kazini. Kwa hili mmeumbuka.
  7. M

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Hivi kuna watu wana moyo wa kusema wanachokisema. Serikali kwa hilo lililotokea hamtoki sema tu vile hatuna pakusemea lkn serikali watuua. Na dhambi hii haitamuacha MTU kabisa.
  8. M

    Polepole: Kauli ya Kikwete ya kutochukia vyama vya upinzani ililenga nchi nyingine na si Tanzania!

    Mtu mzima akiachia ushuzi lazimaangalie pembeni kama kuna mtoto pembeni amsingizie. Pole pole kaachia ushuzi sasa anamtafuta wa kumsingizia.
  9. M

    Rais wetu amelewa madaraka, amesahau kuwa yeye ni Rais wa Watanzania

    Wak Wakati yeye kahongwa na huyu huyu na akapotea nchini.
  10. M

    Sisi Wamachinga tumemkubali Rais Magufuli

    Na keel Na kweli mnapambana na hali yenu. Hata ya kesho hamjui itakuwaje. Maisha vululuvululu. Mungu anawaona.
  11. M

    Naibu Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson amekabidhi mil.10 kuchangia ujenzi wa soko la SIDO Mbeya lililoungua moto

    Maskini Tulia Aka nyamasa anatumiwa like dekio LA choo cha stand. 2020 anaachwa kama unavyotupaga dekio ukilimaliza na kuganyagwa.
  12. M

    Video: Manji anahuzunisha, anataka kulia

    Hivi kweli anashitakiwa kwa Kesi ya mkojoooo au Sizonje ana mkono hapo?
  13. M

    Kumbe IMMMA Advocates wanawatetea Acacia Katika kesi huko London UK dhidi ya Serikali ya Tanzania!!

    Sasa Lumumba ina maana mmekosa kabisa akili ya kufanya na mkaona hicho ndicho cha kufanya sio. Yaani akili zimewaisha kabisa mkawa kama wabaka watoto. Yaani mlaaniwe Lumumba yote. Natamani ningekuwa na malipuzi nilipue Lumumba.
  14. M

    Kupumlia mashine: Sasa siyo tetesi, ukimya Wa Majadiliano Makinikia ni jibu tosha

    Jina lako hekima nafikiri nalo umelikosea ungejiita kichaa.
Back
Top Bottom