Siku sizonje akiruhusu siasa nakuambia tutamzika. Lazima pressure itampanda na kufa hapo hapo kwa mikutano moja tu.
Kama yeye mwanaume kweli najaribu zone.
Laura Bagbo naye alikuwa na wafuasi kama alivyo Magu na yeye pia alikuwa anasema nalinda rasilimali za nchi yake. Lkn yuko wapi sasa. Magu namshauri asifikiri hicho kiti ni cha hadi kufa.
Umewahi katika maisha yako yote kuwa na rafiki asiye na vision?
Au umewahi ukiwa shuleni mkaongozwa na kiranja kilasa?
Magufuli hana vision kabisa. Na alipata nafasi hii bila kutarajiwa. Huyu anasogeza tu muda ili kiongozi wa nchi aingie. Yeye hana hata chembe ya uongozi kwa hiyo hajui...
Hivi kuna watu wana moyo wa kusema wanachokisema. Serikali kwa hilo lililotokea hamtoki sema tu vile hatuna pakusemea lkn serikali watuua. Na dhambi hii haitamuacha MTU kabisa.
Sasa Lumumba ina maana mmekosa kabisa akili ya kufanya na mkaona hicho ndicho cha kufanya sio. Yaani akili zimewaisha kabisa mkawa kama wabaka watoto. Yaani mlaaniwe Lumumba yote. Natamani ningekuwa na malipuzi nilipue Lumumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.