Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,075
Nilikuwa namuunga mkono baadhi ya mambo lakini nishaona uwezo wake mdogo. Hajui na hafanyi chochote kuboresha maisha ya watu. Yeye yuko busy na mambo ya AJABU AJABU ya kina LISSU, MANJI, IPTL nkUlikuwa unamuunga mkono naona sasa upo kinyume.
- Anaacha watu wengine wanateseka huku wengine wanalipana MIPOSHO YA LAKI 4 PER DAY!
N.B Kumchoka Zigo wa magogoni haimaanishi nawaunga mkono MIZIGO MIZITO YA UPINZANI