nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
hongera mwenzetu kwa maisha yako kuwa safi chini ya utawala huu. huku mtaani hali sio shwari....
Yeshongera mwenzetu kwa maisha yako kuwa safi chini ya utawala huu. huku mtaani hali sio shwari....
sisi bodaboda, mama ntilie, wanafunzi wa vyuo vikuu na wakulima hatumtaki hatakumsikiliza,amalize tu hii 5 yakeAmani ya bwana iwe nanyi.
Mimi kama mfanyabiashara wa kimachinga tangu awamu ya mzee mkapa, naomba nichukue nafasi hii kuipongeza sana serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli.
Kabla ya awamu ya Rais Magufuli kuwa Machinga ilikuwa ni adhabu kubwa.
Vipigo, kuwekwa ndani na kuchukuliwa vitu na mgambo ilikuwa ndio maisha ya wamachinga.!
Leo hii wamachinga tunafanya biashara kwa kujiachia katikati ya mji kama mitaa ya kongo na makoroboi! Tuseme nini waja wako ee bwana??
Chini ya utawala wako maisha ya wamachinga yameboreka sana na biashara hii, sasa inatambulika rasmi.
Rais Magufuli pokea salamu zetu sisi wamachinga na tunakuahidi ushindi wa kishindo uchaguzi wa 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtalijua jijisisi bodaboda, mama ntilie na wanafunzi wa vyuo vikuu hatumtaki hatakumsikiliza,amalize tu hii 5 yake
Machinga wapo duniani kote, tembea uone siyo kushinda umejifungia hapo ufipaUmachinga siyo kazi, ni matokeo ya kushindwa kwa mipango ya serikali ya Tanzania. Ni upumbavu kwa watu kujivunia umachinga. Hakuna mipango, wanachotaka ni kuchuma tu
Na kweli mnapambana na hali yenu. Hata ya kesho hamjui itakuwaje. Maisha vululuvululu. Mungu anawaona.Umasikini wako unatuhusu nini sisi,
Kushindwa kununua sukari umeona ni jambo la maana sana kuja kujianika hapa?
Sisi tunapambana na hali zetu kwa kutandaza bidhaa barabarani na wewe pambana na hali yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni zuzu, unaijua Silicon Valley ?Machinga wapo duniani kote, tembea uone siyo kushinda umejifungia hapo ufipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulieni mnyolewe 2020Sema Mimi machinga acha kutumia wingi,siku hizi naona vichaa mnazidi kuongezeka hapo Lumumba bk 7
There is no cheap development .Sisi huku tunatafuta pa kulala baada ya bomoabomoa. Hongera yako wewe usiye na nyumba.
Kodi ni inalipwa kote dunianiNi haki yako kwa sababu mwezetu unawazia uzima wako tu!! Upange bidhaa zako barabarani jioni ifike ukalale, bado hamjaanza kulipa kodi!! Ombeeni hilo lisitokee