Nape Nnauye anawatetea " Wauza Unga " eti wasiharibiwe " Brand " Hivi Chidd Benz ana Brand gani ya kuharibiwa au Wema ......
Raisi Muonye huyu Waziri asimbugudhi mkuu wetu wa mkoa
Watanzania kwakuuza mazao pindi wavunapo na kubakiza mbegu leo ni nani ana akiba
Tumpate wapi Farao atakayeota lakini kukubali Tafsiri na ujumbe wa ndoto toka kwa Yusuffu
Nimekuwa Nikimuombea Ben ,,kwa siku sasa leo katika kusikiliza (meditate ) nimesikia Je kama Ben yupo kwenye mfungo wa siku 40? Ameamua kutulia na kumaliza mwaka kwa Maombi yenye nguvu ya Mfungo, ,,itakuaje
Akina Kubenea na wenzake itakuwa vipi?
Kama Zanzibar ni Nchi basi Tanganyika nayo iwe Nchi na Tanzania iwe Muungano wa Nchi hizi na zote zitamkwe
Nashukuru Shein ameanzisha mjadala utakaoturudisha kwenye Rasimu ya Jaji Warioba ukweli ni kwamba Serikal tatu haikwepeki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.