Daily Nation : Kilimanjaro is in Tanzania,Because Mombasa is in kenya

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
12,695
52,318
1483018463766.jpg

1483018477038.jpg



Tupo na mlima Kilimanjaro kwa sababu wapo na Mombasa wakitaka mlima Kilimanjaro watupe Mombasa na bandari yao.

Kama Kenya wangetaka kupata mlima Kilimanjaro ingebidi wapoteze Mombasa.

Ambapo mpaka sasa wangekuwa hawana bandari mizigo yote wangepitishia Tanzania wangekuwa hawana mahotels mazuri ya watalii ambayo yapo Mombasa .

Tusipotoshe ukweli kilichowekwa kwenye kadi ni ubunifu tu wa designers wakenya wanao tamani mlima uwe wao lakini ukweli wanajua kuwa mlima ni wetu watanzania kwa sababu Mombasa ni yao.

Tuwe wabunifu kidogo kwenye utalii kipindi hiki cha sikukuu Kenya upata watalii wengi wa nje na ndani ya nchi kwa sababu ya ubunifu.

Kuongeza kodi kwenye utalii pekee bila ubunifu wa kuvuta watalii wengi waje sioni kama ni njia sahihi na kuanza kulalamika .

Tanzania kumbuka tupo kwenye globalization kulalamika sio njia tena ya kupambana na matatizo yetu .

Tupinge kwa umakini Sera mbovu za viongozi wetu waliolewa madaraka tuwape solution.

How Kilimanjaro ended up in Tanzania

Happy new year 2017.
 
Hoja inahitaji elimu ya historia na mipaka.
Kwani Mombasa iliwahi kuwa upande wa Tanganyika na mlima Kilimanjaro kuwa kwenye mamlaka ya Kenya?
Kiza kinene.Hahahaha.
 
Aliyechora hii ramani ya Tanzania alikosea sana, yaani angepiga mstaari mmoja mnyoofu kuanzia ziwa Victoria mpaka Mombasa hii tungejikuta hata Somalia ya kwetu.
 
Hoja inahitaji elimu ya historia na mipaka.
Kwani Mombasa iliwahi kuwa upande wa Tanganyika na mlima Kilimanjaro kuwa kwenye mamlaka ya Kenya?
Kiza kinene.Hahahaha.

Nadhani uko sahihi. Hoja inahitaji kufafanuliwa zaidi. Tunajua kuwa Kilimanjaro ilikuwa Kenya. Je Mombasa ilishawahi kuwa Tanzania?
 
Angalieni pia hiyo ramani kwa makini hapo ziwa Nyasa, ama kweli tusipoangalia tutaangamia kwa kukosa maarifa!
 
Huu mlima utatuletea matatizo sana, naona una madini, kilichopo tuyachimbe hayo madini ili ugomvi uishe
 
Pigeni siasa wenzenu wanapiga dola za kutosha ... CCM OYEE
View attachment 451717
View attachment 451718


Tupo na mlima Kilimanjaro kwa sababu wapo na Mombasa wakitaka mlima Kilimanjaro watupe Mombasa na bandari yao.

Kama Kenya wangetaka kupata mlima Kilimanjaro ingebidi wapoteze Mombasa.

Ambapo mpaka sasa wangekuwa hawana bandari mizigo yote wangepitishia Tanzania wangekuwa hawana mahotels mazuri ya watalii ambayo yapo Mombasa .

Tusipotoshe ukweli kilichowekwa kwenye kadi ni ubunifu tu wa designers wakenya wanao tamani mlima uwe wao lakini ukweli wanajua kuwa mlima ni wetu watanzania kwa sababu Mombasa ni yao.

Tuwe wabunifu kidogo kwenye utalii kipindi hiki cha sikukuu Kenya upata watalii wengi wa nje na ndani ya nchi kwa sababu ya ubunifu.

Kuongeza kodi kwenye utalii pekee bila ubunifu wa kuvuta watalii wengi waje sioni kama ni njia sahihi na kuanza kulalamika .

Tanzania kumbuka tupo kwenye globalization kulalamika sio njia tena ya kupambana na matatizo yetu .

Tupinge kwa umakini Sera mbovu za viongozi wetu waliolewa madaraka tuwape solution.

How Kilimanjaro ended up in Tanzania

Happy new year 2017.
 
Somalia na Al-Shaabab wake wangekuwa kwetu?
Bora msitari ulipindishwa.
Ahahahaha nimecheka sana na kuvuta picha ndo tumepewa kaz ya kupiga mstari we jamaa nadhani ingekua shida kufikia muafaka kwa uoga ila ungetuokoa mana wenye tamaa wasingeangalia ilo
 
Ngorongoro ipo kenya pia,,,,,ziwa nyasa lipo Malawi, ,,,,,Duuu back Tanganyika ase hawa watanzania hapana
 
Aliyechora ramani alikuwa akikaa sehemu gani katika kuitazama dunia na kuichora?
 
Nipe nikupe katika negotiations kati ya Waingereza na Wajerumami. Wajerumani waliokuwa wanatawala Tanganyika walikuwa wanaupenda sana Mlima Kilimanjaro (ndio maana majina mengi kule juu Mlimani mpaka sasa ni ya Kijerumani). Katika Anglo-Germany Treaty au pia inajulikana kama Heligoland-Zanzibar Treaty 1st July 1890 Kansela wa Ujerumani walikubaliana (among other things) na Malkia wa Uingereza Mlima Kilimanjaro uwe Tanganyika na Mombasa iwe Upande wa Kenya colony.
 
kweli wazungu wametuchezea yani walikuwa wanakaa mezani watugawana kama pipi halafu leo sie tunatambia hiyo mipaka
 
Back
Top Bottom