Ila hakijibu maswali Mengi ya NECTA
Soma mfano swali la 7 Mwaka 2021, soma swali Hilo la 5 Mwaka 2021, kasome swali Hilo la 2, soma swali la 3 kama amejibu njoo hapa uandike na Mimi nitakupa 50,000 hapa hapa
Salaam Ndugu zangu!
VITABU vya History vya Mwl. Bakari Madaya ndivyo vinavyoweza kujibu maswali yote ya NECTA bila kuacha swali hata Moja.
Ni VITABU hivyo tu ndivyo vyenye content zote zilizopo katika syllabus that's why vinajibu maswali ya NECTA bila shida.
VITABU vya Advance viliandikwa...
Natafuta Mwalimu wa kubadilishana kituo Cha kazi idara ya Elimu Sekondari.
Yeye aje Tandahimba, Mimi nije Mbalari, Iringa, Njombe au Mbeya.
Ahsanteni
Namba ya Simu 0766877120
NA MWL BAKARI MADAYA 0628087968
Salaam Ndugu Watanzania wenzangu*!
Naomba Leo nami niandike kidogo kuhusu watu wenye uwezo wa kusema lakini hawasemi.
Ndiyo, ninaandika hapa katika Muktadha wa kuwashangaa watu wa namna hiyo kwanini hawasemi. Hawasemi kweli ingawa kweli inadhihirika lakini wao...
Ninachokiona ni kwamba, Rais Samia ni Rais aliyeingia katika nyoyo za watu.
Ni Rais anayekonga nyoyo za watu.
Ni Rais anayefanya mambo na yanaokena. Anafanya maendeleo ya vitu na Watu.
Ni Rais anayegusa maisha ya watu moja Kwa moja
Ni Rais anayependwa na watu kutoka katika mioyo Yao Kwa...
Usiseme kabla ya uwepo Mungu! Hakuna neno hilo. Mungu alikuwepo hata kabla ya kabla yenyewe.
Sema kabla ya Mungu kujifahamisha kwa viumbe vyake. Mungu alijifahamisha kupitia kwa manabii ambao ni binadam.
Nampa big up Mheshimiwa. Kuongea kiingereza ni utumwa tu. Na hoja kwamba Mheshimiwa hajui kiingereza ni hoja za kupuuzwa kabisa. Anaweza yule. Hakuna anayegraduate PhD asiweze kiingereza hakuna hats kidogo.
No nyinyi wenyewe ndio mnaozungumza masuala ya ukoloni mambo Leo halafu MTU akianza...
Na Lowassa hapaswi kuyaongelea hayo. Mtu huwezi kuzungumza mbele za watu kwamba "Mimi sijawahi kulazwa" Mungu atakusikia. Nadhani nimeeleka tens sana sana
Ndugu unaonekana ni mtu mwenye roho MBAYA usiyependa maendeleo ya watu hasa wale unaowafahamu.
Hoja uliyoileta hapa imejaa chuki, husda, mtima nyongo, majungu na uongo uliokomaa kwa maana:
1. Hakuna Code of conduct ya chuo chochote nchini Tanzania kinachoruhusu mwanachuo mwenye ufaulu wa...
Imeandikwa, ajiandaaye kutoelewa, hataelewa mpaka dahari. We umejitia kiziwi usisikie ya mheshimiwa. Sasa utaelewaje basi?. We ni miongoni mwa wale mnaochelewsha maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.