Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

Zamani kabisa mwisho wa kuhesabu pesa (kwetu sisi Waswahili) ilikuwa ni laki. Hakuna aliyekuwa na milioni. Ikaja milioni hakuna aliyekuwa na bilioni. Nadhani hata wakati nchi yetu inapata uhuru hapakuwa na hesabu ya mabilioni kwenye bajeti ya nchi nzima. Sasa imefika trilioni. Ukiongeza sifuri tatu itakuwa quadrilion. Mwisho kabisa sifuri zikiwa nyingi mno hesabu ikawa haindikiki inaitwa zillion (kwa Kiingereza cha Marekani wanaita gazillion). Sifuri zikiwa nyingi sana zitaandikwa kimahesabu kama 'twelve to the power of seventy'
 
Hesabu ziko hivyo kama ulivyojibiwa ... baada ya 3 unaenda nne (4)
 
Unaposema namba ya after trillion ni nini? Ze baadhi yetu tunalenga pesa tu. Ila hizi ni namba tu si pesa. Je wajua kwani kuna hizi namba nyingi baada ya trillion? Moja wapo wa faida ya namba hizi km utakuwa mwana astronomy utafahmu utaam wa namba hizo
 
Capture.PNG
 
Back
Top Bottom