Watu wote mmenena vema, hebu wamama tuwachukulie vizuri hawa wadada kama watoto wetu wa kuwazaa halafu tuone ataondoka? Tusiwe wavivu, tupatapo nafasi tuwasaidie kazi, tipige nao story,tuwashauri, na kuwaambia jinsi ya wao kutimiza ndoto zao. Maana hawa ndo wamebeba uhai wa familia, akiamua...