Kabisaaa! Maana mwingine ungelewa naye hapo sitting room unadhani nini kingefuata kama siyo kuvunjiana heshima kwa maneno ya kipuuzi. Kuitwa baba ni kawaida tu amekuheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kumjua huyu mdudu vizuri atujuze maana tunaanza kuogopa kula mboga za majani hasa kisamvu. Inadaiwa ukimpika pamoja na mboga mkala basi kifo kinawahusu walaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau! Hivi hizi habari zikoje kuhusu huyu mdudu? Mwenye kufahamu atujuze maana mtaani wanatuogopesha kula mboga za majani sasa. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wote mmenena vema, hebu wamama tuwachukulie vizuri hawa wadada kama watoto wetu wa kuwazaa halafu tuone ataondoka? Tusiwe wavivu, tupatapo nafasi tuwasaidie kazi, tipige nao story,tuwashauri, na kuwaambia jinsi ya wao kutimiza ndoto zao. Maana hawa ndo wamebeba uhai wa familia, akiamua...
Watu wote mmenena vema, hebu wamama tuwachukulie vizuri hawa wadada kama watoto wetu wa kuwazaa halafu tuone ataondoka? Tusiwe wavivu, tupatapo nafasi tuwasaidie kazi, tipige nao story,tuwashauri, na kuwaambia jinsi ya wao kutimiza ndoto zao. Maana hawa ndo wamebeba uhai wa familia, akiamua...
Habarini,
Jamani siku hizi wadada wa kazi hawakai, akija baada ya mwezi utasikia naondoka, sababu ni nini? Tupeane mawazo ili tusaidike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini humu,
Nilifanyiwa operesheni ya kutoa tonses toka mwezi wa tatu 2017. Hadi leo sina test ya chochote. Nisaidieni nitakuwa vizuri baada ya muda gani? Sina namba ya doctor wangu na yuko mbali.
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Wapendwa binafsi nimegundua usipokuwa mwangalifu utajikuta unaingia jehanam kwa ajili ya simu hizi. Hebu kila mmoja aseme alilowahi fanya baya kupitia simu yake
Ni shida, sisi huwa tunasubiri walale ndo tunadu japo muda mwingine tunapitiwa usingizi tunaishia kulala na nyenge zetu d hadi kesho tena maana asubuhi watoto washaanza kudamka tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.