Recent content by mdukuzi

  1. mdukuzi

    Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Ukifika miaka 60 huna Cha kupoteza ni Bora ukasimamia ukweli na haki,hongera Pascal,ni sibu kuwa babu wa ovyo
  2. mdukuzi

    Mufti Bin Zuber Bin Ally: Wakati wa uapisho wa Magufuli, Pengo alikuwa ananipa mlinzi wake anisindikize

    Pengo alikuwa na jeshi? Ulimuamini vipi baunsa wa pengo? Bakwata haimudu kulipwa mabaunsa?
  3. mdukuzi

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Nakuachana ni simple tu like that
  4. mdukuzi

    Adui wetu mkubwa ni mwenge wa uhuru, kuna mavumba huwa yanafukizwa kutupumbaza watanzania

    Amin nawaambia mwenge wa uhuru ni silaha kubwa sana inayotuangamiza watanzania. Moto wa mwenge ukiwaka na mavumba huwa yanafukizwa mule na kununiwa maneno fulani kutupumbaza watanzania Kila kata utakapopota wakazi wa hiyo kata wanakuwakama tulivyo leo, mimi na wewe, hatujielewi kwa chochote...
  5. mdukuzi

    GE2025 ACT Wazalendo: INEC imekataa kupokea fomu za Mgombea Wetu wa Urais

    Mganga wa kabwe amekufa,na ubunge hupati
  6. mdukuzi

    Mkoa wa Geita wavunja rekodi,wagombea ubunge wawili ni wahitimu wa darasa la saba B

    Chacha Wambura ndio huyo mmiliki wa waja school Geita vijijini,msukuma Chato kusini,Lutandula
Back
Top Bottom