Recent content by mdukuzi

  1. mdukuzi

    Siku moja kabla ya kifo chake Mafisango aliteketeza milioni 10 kwa starehe,cha ajabu hakuwa amejenga kwao

    Kuna nchi za west africa pia misiba yao inashangaza
  2. mdukuzi

    Hivi mtu akicheza rafu mbaya mpirani anaweza kushtakiwa mahakamani?

    Ingekuwa hivyo mandonga angefunga wengi,zile ngumi no uhalifu tosha
  3. mdukuzi

    Siku moja kabla ya kifo chake Mafisango aliteketeza milioni 10 kwa starehe,cha ajabu hakuwa amejenga kwao

    Marehemu asemwi vibaya ila huyu mwamba alinifurahisha sana. Mmoja kati ya viungo bora kabisa wa enzi zake,siku moja kabla ya kifo chake,Isnsil Aden Rage akimpatia milioni zaidi ya kumi kama sehemu ya ada ya usajili wake. Mafisango akaita marafiki zake wakaitumbua aswaa,ilikuwa ni kuhama bar tu...
  4. mdukuzi

    Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

    Nchi sio ya baba yenu,huyo magufuli yuko wapi sasa na ubabe wake,hutaki matusi tafuta kaz inyingine sio siasa
  5. mdukuzi

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Toka nae out huku nyuma watume washikaji wahamishe vyombo mkirudi kila mtu awe anashangaa mlovyoibiwa hamia kwake,game over
  6. mdukuzi

    Nimepoteza Kaka Yangu Niliyekuwa Namfuatia

    Jaza emergency keave,Achana na tamaduni za hao wajinga,tunakusubiri msibani
  7. mdukuzi

    Nimepoteza Kaka Yangu Niliyekuwa Namfuatia

    Kama huna nauli ndio tutakuelewa,ila kama ipo we nenda tu mzee mwenzangu
  8. mdukuzi

    Nimepoteza Kaka Yangu Niliyekuwa Namfuatia

    Uwepo wako ni muhimu,kila mtu akituma hela mwamba atajizika mwenyewe?
  9. mdukuzi

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Wewe na makonda wote ni chawa
Back
Top Bottom