Recent content by mdukuzi

  1. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Safari ya Neema: Kutoka Ndoto Ndogo Hadi Kumiliki Supermarket

    Hiyo picha sio supermarket ni duka la kisasa
  2. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Tetesi:-Endapo kama wewe upo fb na uliwahi kutoa maneno ya kichochezi jiandae!

    Labda wajenge magereza moya
  3. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Waimbaji wa Nyimbo za Kisukuma Wenye Melodies Tamu Kushinda Waimbaji wa Bongofleva

    Hirizi nje nje ,chake,dawa za asili nazingaombwe nk ndio uwe msanii
  4. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Mnaoishi na wakwe zenu mtupe siri ya urembo

    Kuna msukuma mkwilima anaishi ukweni namjua
  5. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mashamba karibu na mto, ziwa au bwawa lisilokauka mwaka mzima, kuanzia hekari 5-40

    Mgosi huko inaonekana ni pazuri,mashamba ya kukodi ni kiasi gani
  6. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mashamba karibu na mto, ziwa au bwawa lisilokauka mwaka mzima, kuanzia hekari 5-40

    Huo utakuwa mto Lukosi sio ruaha
  7. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Watu mashuhuri 10 waliopendwa sana na hayati Magufuli katika utawala wake wa awamu ya 5

    Mimi Bashiru Ally kakurwa sioni jina langu
  8. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Je, Mechi za Yanga na Singida Black Stars zina upangaji wa matokeo?

    Mtu na mkewe hao
  9. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Ukifika miaka 60 huna Cha kupoteza ni Bora ukasimamia ukweli na haki,hongera Pascal,ni sibu kuwa babu wa ovyo
  10. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Mufti Bin Zuber Bin Ally: Wakati wa uapisho wa Magufuli, Pengo alikuwa ananipa mlinzi wake anisindikize

    Pengo alikuwa na jeshi? Ulimuamini vipi baunsa wa pengo? Bakwata haimudu kulipwa mabaunsa?
  11. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Nakuachana ni simple tu like that
  12. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Adui wetu mkubwa ni mwenge wa uhuru, kuna mavumba huwa yanafukizwa kutupumbaza watanzania

    Amin nawaambia mwenge wa uhuru ni silaha kubwa sana inayotuangamiza watanzania. Moto wa mwenge ukiwaka na mavumba huwa yanafukizwa mule na kununiwa maneno fulani kutupumbaza watanzania Kila kata utakapopota wakazi wa hiyo kata wanakuwakama tulivyo leo, mimi na wewe, hatujielewi kwa chochote...
Back
Top Bottom