Recent content by mdugunde

  1. mdugunde

    Dar es Salaam: TAZARA and Ubungo flyovers - Construction starts November 2015

    Kiukweli foleni iliyopo TAZARA ni ile ile ya siku zote kiukweli mkandarasi amejitahidi kimazingira na kutoongeza foleni
  2. mdugunde

    Zitto Kabwe asimulia alichokutana nacho hospitalini mkewe akijifungua

    Yeye ni zaid ya kioo cha jamii ujumbe wake huu huwezi amini utakuwa umebadilisha kuhamasisha watu wengi. Kuna watu hata uwaambiaje swala la kuchangia damu salama hawastuki.
  3. mdugunde

    Kashfa nyingine NSSF

    Nchi inatafunwa sana duuu
  4. mdugunde

    RC Makonda: Ni marufuku kuwasaidia Ombaomba barabarani jijini Dar

    Lakini kama TRA wanatangaza ongezeko la ukusanyaji mapato basi kuna kila sababu ya kutafutiwa kituo na kupatiwa mahitaji ikiwemo elimu na afya
  5. mdugunde

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Hakuna kukosea ni tabia mbaya tu ya mtu ng'ombe anapanda kwa kukuchumia hakosei itakuwa wewe binadamu? Tena kibaya zaid kwenye romance unaanza kuchezea papuchi ila kuingiza ndo ukosee!
  6. mdugunde

    Kwanini Lowassa anataka Urais kwa Nguvu, Gharama yoyote?

    Mtoa post poleee Watz washaamua kuwabadilisha ni kazi
  7. mdugunde

    HUZUNI KUU KYELA: Bye Bye Harrison Mwakyembe

    kwake kunamshinda ndo atauweza wa Lowasa
  8. mdugunde

    Humphrey Polepole, tumekuletea Lowassa badala ya Lipumba na Slaa!

    ametimiza tu haki yake kikatiba sidhani km kuna impact kubwa kwa yeye kutoka UKAWA What i know pipo have changed and wamechoshwa na ilani na mikakati ya kuja tekelezwa mwaka 2025!
  9. mdugunde

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    na jamaa alikuwa jeuri huyu full kunata
Back
Top Bottom