Recent content by mdudu8

  1. M

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Hamieni Airtel piga kifurushi cha Data kinaitwa OMG kwa buku tu unapata MB 800
  2. M

    Mwenye kuelewa mshahara wa customer care Vodacom na Airtel

    Jibu zuri sana@captain phillip
  3. M

    Maumivu ya tumbo

    Naomba ushauri,nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto linauma maumivu ya mfululizo na yanafika mpaka kwenye mgongo kwa katikati.ila nimepima typhod sina,u.t.i sina,ila malaria nimekutwa nayo 2.nimekunywa dawa inaitwa oroder.sasa sijui nifanyaje.naombeni msaada plz
  4. M

    Nauza Saa za ukutani

    Nauza saa za ukutani zenye ubora na toleo la kisasa zipo aina tofauti!bei ni kulingana na aina!call 0686854242 or watsup for images Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  5. M

    Nauza piki piki SG 125.

    Nauza pikipiki sunlg SG 125 maarufu kama( kibao cha mbuzi)number T 101 AKN.imetumika hapa hapa ila ipo kwenye hali nzuri ila inahitaji marekebisho kidogo tu!kwa anaehitaji ani PM. Or call 0686 854242 Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  6. M

    Mayai yanapatikana

    mnapatikana wapi?
  7. M

    Mayai ya kuku wa kisasa

    Nahitaji mayai ya kuku wa kisasa treyi 50 kwa elfu 6000/=.nipo dar es salaam. No.0686-854242
  8. M

    Nahitaji mayai ya kuku!

    Nahitaji mayai ya kuku wa kisasa treyi kuanzia 50.kwa bei ya 6000/=kwa treyi.nipo dar esalaam.no.0686-854242
  9. M

    Aliomba tuachane sasa hivi anataka turudiane

    Akili za kuambiwa changanya na zako! Songa
  10. M

    Recruitment Agencies

    Habari zenu wadau!naomba kueleweshwa kisheria kuhusu hizi recruitment Agencies! Mwanzo ilikuwa inaitwa SPANCO ambayo imechukua tenda kutoka AIRTEL ya kuajiri watu nakuendesha CALL CENTER baada ya kuanza michakato ya vimavya mshahara vyachini kubadilishwa kwa kutangazwa na serikali!hiyo kampuni...
  11. M

    Kukauka kwa midomo!!

    Nashukuru sana!mpendwa!ntalifanyia kazi swala hili leo!!nione matokeo yake!!shukran sana!! Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  12. M

    Kukauka kwa midomo!!

    Nilikua nakunywa kipindi flani ila niliachana na pombe kali!japo mwezi umepita nilipima ila ckukuta tatizo kwenye ini wala figo!kati kati hapa nikanywa bia ndio hiyo hali ikaanza!! Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  13. M

    Kukauka kwa midomo!!

    Naomba nisaidiwe!kwani nahisi kukauka kwa midomo na tumbo kuuma kwa mbaali upande wa kushoto pamoja na kukosa ladha yachakula chochote nnachokula!!nilienda kupima hospita!mkojo,typhod,malaria n full blood picture!ila cjagundulika na kitu!nikapewa dawa ila bado najickia hali ni ile ile!naombeni...
Back
Top Bottom