Recent content by Mdomowabata

  1. M

    Mkurugenzi wa Jiji Dodoma amefeli zoezi la urasimishaji makazi Nzuguni A

    Mheshimiwa Rais sisi wakazi wa Nzuguni A tunakuomba uingilie kati zoezi hili lisiloisha kwa wenye makazi na viwanja katika eneo la Nzuguni A. Zoezi hili linakaribia mwaka wa tatu lakini imekuwa linaenda kwa kusuasua sana urasimu umekuwa ni mwingi l, ubabaishaji na Rushwa imekithiri kupelekea...
  2. M

    Waasi wasiopungua 50 wauawa Kaskazini mwa Msumbiji

    Harafu kwa uoga huo bado unamshangilia lissu
  3. M

    Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

    Mbona tunaanzia hatua ya mbali sana? tungeanza na kununua yale yanayotumia makaa ya mawe kama ya Kenya then ndio tuupgrade kuwaonesha utofauti.
  4. M

    Maiti ya kichanga yafikisha siku 40 mochwari kusubiri DNA

    Kesi ya nyani anapelekewa ngedere mtuhumiwa daktari na vijana wake na mpima DNA daktari na vijana wake unategemea majibu yatokaje hata kama sio.
  5. M

    Je, Rais Magufuli anailea familia yake kama Baba wa Taifa alivyoilea yake?

    Kinachojadiliwa ni katika utawala/uongozi wake hilo la familia au ukoo wake unakuhusu nini? hata wewe hapo kwa shemeji yako unapoishi Mara jirani akaanza kukufuatilia kwanini huendi kupanga kwako utajisikiaje si lazima ulielie majirani wambea sana,hawa viongozi wa kisiasa tuliwapa dhamana tuwape...
  6. M

    Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

    Katika siku mbili hizi kumetrend ktk mitandao video zikionesha wahuni wanaojita waislam wakivamia kijiji kule Mtwara na kuchoma moto kuua mmoja ya muathirika akikatwa kichwa,huku wahuni hao wakijigamba kuja kuleta dola ya kiislam. Kwanza ieleweke wazi ktk uislam hakuna uhuni kama huu...
  7. M

    Je, Rais Magufuli anailea familia yake kama Baba wa Taifa alivyoilea yake?

    Naona Maisha yake ktk utendaji wake kuyafuatilia yamekushinda sasa unaamua kuingilia malezi ya familia yake na siku si nyingi utarudi uanze kusema "Hivi Magufuli anavyosema ataongeza mke wa pili Znz baada ya kustaafu kwanini asinichukue Mimi mbara mwenzie Magufuli ni mbaguzi hatufai.
  8. M

    Kero: Mtandao wa Tigo mnakera

    Mkuu Mimi laini yao nimeishia kukopa na kuiacha nimeshindwa kuvumilia useng...e huu wa kutesana usiku najiunga na kifurushi tena cha 10000 vidakika vingine naambiwa niamke usiku vidata 3.5 gb nichofanya bora nijiunge halotel kwa GB 6 Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Mbona katuni zetu hazina mvuto kabisa na ziko tofauti yaani hazichezi(hucheza kwa kuvunjikavunjika) tuna feli wapi

    Sasa hata wewe unaejua kila kitu imekushinda kung'amua sababu mpaka inatuuliza kweli. Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  10. M

    Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

    Wadasalaam mtuupdate na Leo maana Jana watabiri wamesema ile mvua ya juzi itakuwa ni kamvua robo yake itakayonyesha leo. Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally kuongea na Mabalozi tarehe 15 Oktoba 2020

    Ni heri atawale hata lipumba au mama sendiga lkn sio kibaraka,kiujumla ni heli kidogo ninachokipata kuliko kumpa kibaraka nikakosa kabisa na natumai waswahili hamjatujua hiyo tar 28 tutafanya nini. Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  12. M

    Msaada: TV ya TCL inazima screen na kubaki audio tu

    Mkuu kama hiyo TV ya wazee imechoka wanunulie nyingine au unataka uileeleee uje ujibalansie mirathi wakiondoka. Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  13. M

    GE2020 Mgombea Ubunge jimbo la Serengeti, Catherine Ruge(CHADEMA) alazwa baada ya kupigwa

    Sasa hao askari kwa tamaa gani kwa Hutu dem maana ana vimguu kama njiwa au kanga.
Back
Top Bottom