Hii iliwahi kumtokea mshikaji wangu kwenye ubishi kama huu alikunywa konyagi kubwa (kabla hawajatoa bapa) yaani ile anamaliza akaanza kupoteza uwezo wa kuona mpaka Leo ni kipofu!!
Kila kitu kitaenda mrama, kila jiwe litabinuliwa ili kuhakikisha wale waliojimilikisha hii nchi na familia zao na vizazi vyao vyote wanaishi kama wako peponi...enzi za utumwa bado zipo sema tu zinaendelea kwa akili na umakini mkubwa sana kiasi kwamba watumwa nao wanajiona ni sehemu ya watawala...
We ndo huyo meya mfisadi ulieng'olewa? Ilikuwa wapi kutoa tuhuma za hawa madiwani hapo kabla!!? Huu ni utetezi tu wala hauna mashiko yeyote na kwa lugha nyingine tuseme ni kama unataka kulipa kisasi tu kwa hao waliovumbua madudu yako na kuyaweka hadharani .. Kwanza ulioaswa uwe mahabusu na sio...
Hivi kwanini Wakenya mna ubaguzi sana!! Na hii iko ndani ya mishipa yenu ya damu, hata uchaguzi wenu tu ni ubaguzi tosha wa kikabila! Yaani kabila ni sifa ya kwanza katika taifa lenu? Hata we unatamba hapa JF kwakuwa sie hatuna ubaguzi wala hatujali kuhusu uwepo wako! Angalia hata mfano mdogo tu...
Mjasiriamali omba omba! Hizi tabia za kuombana bia mziache huku bongo kwa maprofeshino kama MWIJAKU, STEVE NYERERE, BABA LEVO nk sasa mkijifanya kwenda nazo kwa wenzetu mtazikwa sana, hii tabia hata Kenya tu haipo yaani hapa bongo jitu zima linatoka kwakw halina hata mia linaenda bar linaanza...
Hata Yale ya yard mengi Yana ujanja ujanja tu, pote ni kubahatisha, gari za mikononi kwa watu unaweza ukapata iliosimama mpaka ukashangaaa! Nilinunua matako ya nyani kwa mwarabu mmoja hivi kwa 14.5m nikakaa nayo wiki 2 nikaiuza 24m kwa mtu wangu wa karibu sana na iko imara balaa, mpaka sasa ina...
Kifupi hakuna basi ila Kuna misalaba tu, ilikuepo katoro coach ila sina uhakika kama bado ipo,
Kama una safari kweli we panda mpaka Kahama au Mwanza kwa mabasi ya kuaminika then kesho yake unganisha mpka Geita
Mie naona umekuja kuchangamsha jukwaa tu, kutapeliwa Million 45 mda huu ungekuwa na drip au ungekuwa kwenye basi unaelekea sumbawanga kumtafuta Mr Mshana ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.